Satoh Hirosh
JF-Expert Member
- Mar 30, 2021
- 6,432
- 25,646
Huu ni mtego. Unaweza kucomment akalike njemba mkaishia kutukanana huko pm.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Abee mpenz
Naangalia wanaokulikeDada ndo kusema umechoka kutuona single 😀😀😀
Fungua moyo mamiiHahah naona umelivalia njuga
😂😂Nitajua huko mbele tena
Naona umeishakula like .. kazi kwako kuibuka Pm 😅😅Umejueje ngoja niwinde na mm
Kwa kweli huu ni mtego Sana,Watu wanaogopana.Ila sasa huu uzi hakuna mtu atalike comment ya mtu[emoji3][emoji3][emoji3]
Mkuu huyo sophy27 ni wa kiume,achana naye.
Yani jamii forums ina watu zaidi ya 500000 unakosaje hata wa kukudanganya danganya.
Sasa we andika comment yako halafu atakayelike mfwate inbox anzeni kuwasiliana hadi pale mtakapofikia. Hata waki like 10 utachuja mbele kwa mbele makapi na ngano. Vigezo na masharti mtazingatia.
Msisahau kuleta mrejesho hapa matokeo ya hii fellowship...
mzabzab swahiba wangu wa ukweliii changamka upate mke uoe nipikiwe pilau mimi WiFi mwenye mdomo wake mjini.
Unique Flower kiboko ya vibabu changamka figa moja haliinjiki chungu ujue.
Me niko pale nawazoom.
Ngoja niingie TRA nikakadiriwe.
Mali ya kuzugia hahahHahaha,
Tuone maana watu tuna miaka 10 sasa JF ila hatuna hata mali ya kuzugia humu😂😂