Ngoja niwasaidie mpate partners kirahisi

Hahah naona umelivalia njuga

πŸ˜‚πŸ˜‚Nitajua huko mbele tena
Nakutakia mema wala si mabaya...
Ukute unapiga teke dhahabu
Utajua umkate au vipi ukishamjua
 
Akilike jinsia moja inakuwaje? maana kuna majamaa humu kama Mkwepu Jr yenyewe hua ni kulike tu?
 
Ila sasa huu uzi hakuna mtu atalike comment ya mtu[emoji3][emoji3][emoji3]
Kwa kweli huu ni mtego Sana,Watu wanaogopana.

Kuna mtu namsubiri alike Kisha nizame pm. We mtu mwenye avatar ya hijab si ulike basi hii comment alafu tukamalizane huko chemba!?
 

Fellowship 🀣🀣🀣


Kila la kheri katika kupata partners wapendwaa!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…