Dada humu vijana wameoa na wasiooa Wana wao sogea tuishi tuendelee kugombana nao hawa wa mtaani kwetu hukuNimechekaaaa kifalaaππππ!
Eendiwoo mdogo wangu wanasema wa kuzugia hawakosiiii eti fanya mpango unikonektie dadako hapaa nimezubaa zubaa tuππ!
π π π acha nije kukusabahi tu aunt yangu mie na wewe dugu sio partner
Niki like ya kwako utakuja pm?Hebu nikalike koments zake kwanzaa kumbe Ndiomana zimezubaa tu hapa sababu silike post za watuππππ!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna watu wanapata shida sana
Wanataka ku...to. tuuu sasa kazi kwako kaka mrefu. Comment sasa wakufwate...
Nahisi ww inakuingia akilini!! N ngumu Kwa kweli[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hii naona haituhusu sie ambao hatuhitaji wapenzi humu JF. Naanzaje kufall kwa anonymous IDs kwa mfano [emoji848]
Dada humu vijana wameoa na wasiooa Wana wao sogea tuishi tuendelee kugombana nao hawa wa mtaani kwetu huku
Photo shauri yakoHebu nikalike koments zake kwanzaa kumbe Ndiomana zimezubaa tu hapa sababu silike post za watuππππ!
Kabisa ndugu tusitafutie presha za hapa na paleHilo nalo neno mdogo wangu humu kila mtu na mtuwe hebu nikuje huko kitaa tusongeshe life walaiππΆπΌββοΈ
Tena Nakuja fastaaaa πΆπΌββοΈπΆπΌββοΈnivododa hapa naachaje kujaaπππ!!Niki like ya kwako utakuja pm?
Wenzio tushakulana humu hadi tumerudia halafu unafanya utaniNahisi ww inakuingia akilini!! N ngumu Kwa kweli[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Utakuaje single wakati mimi nipo kwani ukiwa mfupi nini unapungukiwa kinachomatter ni upendo sio size ya mtuWatu wafupi sisi tuna matatizo sana mtuache tuwe single tu πππ
Kabisa presha za rejareja sio poaahh!! Acha tupambane naharee zeituuu tu mdogo wangu!Kabisa ndugu tusitafutie presha za hapa na pale
Jifanye kama unatania ili ulete mrejesho[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Naku phone call kabisaa aunt yangu πππKabisa mjomba karibu sana pitiliza hadi niliko πππππ!