Ngoja niwasaidie mpate partners kirahisi

Ngoja niwasaidie mpate partners kirahisi

Yani jamii forums ina watu zaidi ya 500000 unakosaje hata wa kukudanganya danganya.

Sasa we andika comment yako halafu atakayelike mfwate inbox anzeni kuwasiliana hadi pale mtakapofikia. Hata waki like 10 utachuja mbele kwa mbele makapi na ngano. Vigezo na masharti mtazingatia.

Msisahau kuleta mrejesho hapa matokeo ya hii fellowship...

mzabzab swahiba wangu wa ukweliii changamka upate mke uoe nipikiwe pilau mimi WiFi mwenye mdomo wake mjini.

Unique Flower kiboko ya vibabu changamka figa moja haliinjiki chungu ujue.

Me niko pale nawazoom.
Ngoja niingie TRA nikakadiriwe.

Nilikuwa napita kimya kimya..... tatizo la humu watu wana majina ya kike kumbe ni men unaweza jikuta unaangukia kwa gasho apo ndo kizaa zaa kilipo...!!!! Kuna kazi naielewa humu ila siku moja nitajikaza ngoja nione like kama itakuja kutoka kwa huyu mrembo
 
Nilikuwa napita kimya kimya..... tatizo la humu watu wana majina ya kike kumbe ni men unaweza jikuta unaangukia kwa gasho apo ndo kizaa zaa kilipo...!!!! Kuna kazi naielewa humu ila siku moja nitajikaza ngoja nione like kama itakuja kutoka kwa huyu mrembo
Mtajee tutakwambia kama ni me au ke
 
Back
Top Bottom