Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah kuna watu Wanafiki hapa duniani. Sasa Uzinzi uko wapi hapa?We bila uzinzi ungezaliwaa??
Achana nae hana swaga atampenda nani?Dah kuna watu Wanafiki hapa duniani. Sasa Uzinzi uko wapi hapa?
Tabia za huyo Mshikaji ni sawa na Mtu mwenye makovu na upele mwili mzima akivaa suti akitoka nje watu wanamuona kapendeza kumbe akirudi ndani akiivua ile suti makovu na vipele vipo palepale. 🤣🤣🤣🤣🤣
Naonaga anavyowapeleka mchaka mchaka hapa kama vile mtu mrahisi sana.Akili nyingi sana na Ubongo uwe una chaji kama Albert Eintein kabisa
Satoh Hirosh usikufwe bure naona ume dis like🤣🤣🤣Nikija nitakuelekeza mama
Hahahahhahaa Mimi nampendaga sana aisee 😅😅😅😅Naonaga anavyowapeleka mchaka mchaka hapa kama vile mtu mrahisi sana.
Halafu mifala inajaa pm ziiiiii😂😂😂😂
Najua hawana hamu naye
Wanawake akili kubwa ni burudani sana hasa ukiweza kumhandle🤣🤣🤣Hahahahhahaa Mimi nampendaga sana aisee 😅😅😅😅
Najua una siri nyingi unawastahi tu🤣Hahahaha
Kweli wananiona njaa kali flan
Huenda kweli nna njaa ila sio kama zao
Hebu tupange tumtoe out moja nzito tumpongeze mkuu😂😂Hahahahhahaa Mimi nampendaga sana aisee 😅😅😅😅
Tulia mtoto😁Hahaha sifa mmezitoa nyingi