Ngoja niwasaidie mpate partners kirahisi

Ngoja niwasaidie mpate partners kirahisi

Atauza hadi shamba la urithi na ntumba na bado ataachwa.
Hebu takae mbale abebwe na Lenie
Yaani Chalii yupo kihasara hasara halafu anataka pisi kali kama Lenie , ajitahidi basi kuwa vizuri hata upstair hayo masuala ya mfukoni yanaweza yasiwe ishu sana kwa sababu cash haina mwenyewe. Leo unayo na kesho inakimbia.
 
Umejueje ngoja niwinde na mm
Check out on my new thread before you fall for bad apples.

 
Check out on my new thread before you fall for bad apples.

Unitised wenzio bwanaa
Watu tunakaribia kuelekea kanisani hvoo
 
Hapana, kama ulivyosema hela haina mwenyewe. Ye aje tu vile alivyo nitampokea
Ishu akili ya kuku maintain na kubalansi mambo anayo? 🤣🤣🤣🤣🤣
Na ndio maana sisi hapa tunampa session lakini anatuona Wachawi na anatu dislike kwa kila tunachomuambia
 
As a Man... Hahaa story za boys nishaachana nazo miaka 10 nyuma huko

Na ndio Mimi nakazia hapa a stand as a Man, Sio kama Mvulana maana atafeli mpaka atajidharau mwenyewe, Hakuna Mwanamke ambaye ni intellectual anataka Man mwenye akili za Kivulana
 
Back
Top Bottom