Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 16,464
- 35,629
Tunampima Kijana wetu ukomavu wake wa akili 🤣🤣🤣Yaani wamekuamulia adi sio poa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunampima Kijana wetu ukomavu wake wa akili 🤣🤣🤣Yaani wamekuamulia adi sio poa
Hii collaboration yao Hawa Jamaa kiboko. Wanatusakama Kama tumebeba nyama ya nguruwe tunapeleka kuuza Zanzibar asee.Ndio yuko pm kitambo, hapa nakaribia kumpa no ya simu😂
Hii collaboration yao Hawa Jamaa kiboko. Wanatusakama Kama tumebeba nyama ya nguruwe tunapeleka kuuza Zanzibar asee.
Yeah,Nilichokipenda umetu Salute.
🤣🤣🤣 Yaani utafikiri wameambianaHii collaboration yao Hawa Jamaa kiboko. Wanatusakama Kama tumebeba nyama ya nguruwe tunapeleka kuuza Zanzibar asee.
Tafadhali umkuze taratibu eeYaani wamekuamulia adi sio poa
Hivi mbona sijamwona mdogo wako Deborah Paul Laswai Depal Hadi muda huu? Au anatuzoom kwa kutumia darubini kutokea mbali?🤣🤣🤣 Yaani utafikiri wameambiana
WAkongwe wa mambo hahaHii collaboration yao Hawa Jamaa kiboko. Wanatusakama Kama tumebeba nyama ya nguruwe tunapeleka kuuza Zanzibar asee.
😂😂😂😂 nimemaliza mahangaikoYuko busy anapika
Umerudi?🤣🤣😂😂😂😂 nimemaliza mahangaiko
Hujaonekana kitaa hiki,umemisika Sana.
😂😂😂 karibu tuangalie hubaUmerudi?🤣🤣