joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Gloves alivaa,ila full pictures ni hii.Ila huyu muarabu mbona kama mikono mweusi🤗🙄🙄uso na mikono rangi mbona ni kama kidonge cha rangi mbili😀😀😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gloves alivaa,ila full pictures ni hii.Ila huyu muarabu mbona kama mikono mweusi🤗🙄🙄uso na mikono rangi mbona ni kama kidonge cha rangi mbili😀😀😀
Sawasawa.....picha ya juu ilituchanganyaGloves alivaa,ila full pictures ni hii.
View attachment 3095834
Huyo kamuolea Morocco halafu sizani kama sheria za kiarabu za imani yao zinamkandamiza sana mwanamme.Wa Morocco nae hajafuata fedha hapo?
Dah huyu mumama ni mwizi kabisa, kama anaweza tumia dildo basi kuwa na ngolo is the same tofauti ni kuwa kuna reward ya divorce afterwardsHahahah uzuri wa mtu ni fumbo kiufupi mimi sioni Kante amependea nini...kama wanaume wakiafrica ametuangusha sana...
View attachment 3095751
Pole! Dunia hii imewekwa akiba kwa moto kwa sababu wanaoikaa wameinajisi!Pepo ni hapa hapa duniani...
Unaweza kuniona mi mswahili lakini kule England na France vyombo vya habari vimeripoti hii ndoa kwa kuhofia hatma ya Ngolo Kante,wazungu ni wambeya sana kuliko sisi wanajua CV ya huyo shangazi,just to warn him ,siombaya kupeana tahadhari,Ngolo anaonekana ni mtu poa sana sasa akifirisiwa na hilo lishangazi itaumiza wengiMkuu umeileta hii habari kana kwamba kuna kesi ya madai ya talaka mahakamani....umeandika kana kwamba kuna mgogoro wa ndoa kati yao hali ya kuwa ni shwari.....
Lakini pia ubaya hauna kabila au rangi kwani hayo matukio yanaweza kufanywa hata ukioa mweusi mwenzio.....ni suala tu moyo wa mtu......
Lakini pia mambo ya watu wawili ndani ni Siri Yao......tusipende kuona mambo na kuhukumu moja kwa moja,.....
Huyu ndio mke sasa,wale mabikra 72 aliotuhahidi mtume SAW ndio dizaini hiziGloves alivaa,ila full pictures ni hii.
View attachment 3095834
Hayo sii muhimu hapa kwetu kwa sasa,ingekuwa tumeshapatiwa majibu yetu tungesikiliza na hizi hoja nyingine ambazo tungeweza zipa muda wa kutosha bila kuchelewa chochote.Waafrica wote akili zetu zinafanana,
Ustaadhi Ngolo Kante amevamia mtumbwi wa vibwengo kwa kuoa lishangaji Jude Littler lenye watoto watatu na umri wa miaka 47.
Historia ya shangazi huyo huko nyuma sio nzuri Djibril Cisse aliwahi kuwa nae huko nyuma aliambulia kupigwana kitu kizito.
Pesa zote za waarabu huenda zikaporwa kibabe kupitia divorce mwishoni mwa career ya Ngolo Kante.
Kabla ya ndoa hii Ngolo Kante alikuwa akiheshimika sana na wachezaji wenzake na wadau wengi wa mpira, weusi kwa wazungu lakini inasemekana sasa wamemdharau sana.
Labda atumie akili ya yule mwamba Hakim ya kuandika mali zote jwa jina la mama yake .
Yote juu ya yote pesa ni zake na hatujui anachopewa na lishangazi
Itakua kante kapewa anal, sio bure aiseeeWaafrica wote akili zetu zinafanana,
Ustaadhi Ngolo Kante amevamia mtumbwi wa vibwengo kwa kuoa lishangaji Jude Littler lenye watoto watatu na umri wa miaka 47.
Historia ya shangazi huyo huko nyuma sio nzuri Djibril Cisse aliwahi kuwa nae huko nyuma aliambulia kupigwana kitu kizito.
Pesa zote za waarabu huenda zikaporwa kibabe kupitia divorce mwishoni mwa career ya Ngolo Kante.
Kabla ya ndoa hii Ngolo Kante alikuwa akiheshimika sana na wachezaji wenzake na wadau wengi wa mpira, weusi kwa wazungu lakini inasemekana sasa wamemdharau sana.
Labda atumie akili ya yule mwamba Hakim ya kuandika mali zote jwa jina la mama yake .
Yote juu ya yote pesa ni zake na hatujui anachopewa na lishangazi
Basi anajua anachokipataNgolo yuko Saudi Arabia anavuta mkwanja mrefu sana huyo mumama hawezi kumfikia hata kidogo
Kaamua mwenyewe, hata akifilisika, kivyake.Waafrica wote akili zetu zinafanana,
Ustaadhi Ngolo Kante amevamia mtumbwi wa vibwengo kwa kuoa lishangaji Jude Littler lenye watoto watatu na umri wa miaka 47.
Historia ya shangazi huyo huko nyuma sio nzuri Djibril Cisse aliwahi kuwa nae huko nyuma aliambulia kupigwana kitu kizito.
Pesa zote za waarabu huenda zikaporwa kibabe kupitia divorce mwishoni mwa career ya Ngolo Kante.
Kabla ya ndoa hii Ngolo Kante alikuwa akiheshimika sana na wachezaji wenzake na wadau wengi wa mpira, weusi kwa wazungu lakini inasemekana sasa wamemdharau sana.
Labda atumie akili ya yule mwamba Hakim ya kuandika mali zote jwa jina la mama yake .
Yote juu ya yote pesa ni zake na hatujui anachopewa na lishangazi
Wewe ndo unawashwa, mwanamme kaamua kukaa na mwanamke anayemtaka, unataka kujiingiza katikati yao?Gwanyoko unawashwa njoo nikudinye
We jamaa acha kuwa hivyo utanogewa na utaleft kweli.Kumbe tupo hadi wa kizungu. TUPEWE SIKU YETU SPECIAL maana tunawafilisi kweli
Sasa wewe mwenyewe akili za mbu halafu unanitaka mie smart kias hiki.
FILISI fisi we!!