Ngolo Kante hatarini kufirisika,ameoa shangazi wa kizungu mwenye miaka 47

Unaweza kuniona mi mswahili lakini kule England na France vyombo vya habari vimeripoti hii ndoa kwa kuhofia hatma ya Ngolo Kante,wazungu ni wambeya sana kuliko sisi wanajua CV ya huyo shangazi,just to warn him ,siombaya kupeana tahadhari,Ngolo anaonekana ni mtu poa sana sasa akifirisiwa na hilo lishangazi itaumiza wengi
 
Hayo sii muhimu hapa kwetu kwa sasa,ingekuwa tumeshapatiwa majibu yetu tungesikiliza na hizi hoja nyingine ambazo tungeweza zipa muda wa kutosha bila kuchelewa chochote.
 
Itakua kante kapewa anal, sio bure aiseee
 
Kaamua mwenyewe, hata akifilisika, kivyake.

Ulitaka kuolewa wewe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…