Ngolo Kante hatarini kufirisika,ameoa shangazi wa kizungu mwenye miaka 47

Ila wachezaji wana shida kwenye kuchagua mademu. Wengi wana pisi hazisomeki, ni kama vile wana spend muda mwingi kazini kuliko kujichanganya kitaa so siku akiingia kitaa anaangukia mzigo ulioshindikana.
 
Ila wachezaji wana shida kwenye kuchagua mademu. Wengi wana pisi hazisomeki, ni kama vile wana spend muda mwingi kazini kuliko kujichanganya kitaa so siku akiingia kitaa anaangukia mzigo ulioshindikana.
Kabisa,
Kuporana mademu
Mabar maid au wahudumu wa club
Tv presenters
Models
Wadada wa saloon


Nje ya hapo ngumu sana
 
Dah! inasikitisha sana, watu lini wataacha shobo kwa wazungu? tumuombee avuke salama tu
 
watu weusi hawajawahi kuwa wazalendo zaidi unafiki, yani badala kuja nyumbani akatafuta binti wakiafrika na kumneemesha kaamua kwenda kumkabidhi mali zake Beberu
 
Waarabu wewe, (mume), unaenda sokoni niliambiwa hivyo je ni kweli?
Hata
watu weusi hawajawahi kuwa wazalendo zaidi unafiki, yani badala kuja nyumbani akatafuta binti wakiafrika na kumneemesha kaamua kwenda kumkabidhi mali zake Beberu
North afroca kuna piso za kiarabu ziko poa sana kulilo hao wazungu
 
Now ndoa za mkataba na makubaliano watu sio wajinga tena
Mfan wa ndoa ya MICHAEL JORDAN na YVETTE PRIETO
 
kabisa mkuu, halafu ukiwa na hela unabeba kiubwete kabisa. Nawashangaa sana, tatizo kubwa watu weusi tunahusudu sana uzungu
Tope la kizungu sio km la kiarabu dogo Kante kakanyaga tope la kizungu kanogewa kumbe kaingia mtegoni
 
Tope la kizungu sio km la kiarabu dogo Kante kakanyaga tope la kizungu kanogewa kumbe kaingia mtegoni
Kante kakulia ulaya n8na imani tope za kizungu kaishazikanyaga sana ,tatizo ni kuoa mzungu,huwa ni wajinga sana kuomba talaka na kudai mgao ni kitu cha dakika sifuri,ila wanawaje wa kiarabu hawana hizo,wako submissive kwa waume zao,ndivyo walivyofundishwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…