Ngoma bado mbichi kabisa, Harmonize na feminist Gyumi wameandaa maandamano makubwa Wasafi HQ

Ngoma bado mbichi kabisa, Harmonize na feminist Gyumi wameandaa maandamano makubwa Wasafi HQ

Umeongea point ambayo wengi hawaisemi.

Harmo atapoteza mashabiki na ashanza kuwapoteza. Sijaangalia lkn nadhan insta follows zake zitaanza kushuka chini. Anasahau mashabiki wa wasafi ni watu aina gani.

A wise person chooses his battles carefully
Hizi dua za Kuku, konde kawashika pa kunyea mnaruka ruka tu
 
Nimeona video Harmonize anahojiwa, yaani kila sentensi mbili anatupia humo na kimombo. Sasa hicho kimombo chenyewe sasa, we acha tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
Konde boy for everiiii bodi........Harmo mzee wa "yudebasti mai medulla
 
Wakati akiweka pini kituo cha polisi, msanii Harmonize amekataa kukubali yaishe kweli uchungu wa mwana aujuaye mzazi.

Harmonize akishirikiana na mwanadada mtetezi wa haki za wanawake na watoto Rebeka Gyumi wameanza kutuma jumbe za kuwaalika watu muhimu katika na wananchi kwa ujumla kushiriki maandamano makubwa nje ya ofisi ya Wasafi jijini Dar es salaam ambapo tarehe itatajwa mwishoni mwa wiki hii.

Nini maoni yako

Chanzo: HZW
Mchungu wa mwana aujue mzazi aliye taka kuonja utamu wa mwana.

🤣🤣🤣

Hivi yaliishia wapo haya mamdamano.
 
Harmonize amepata pakuwa jeruhi Wasafi, aitumie hio nafasi vizuri au lasivyo ikipita ataikumbuka.

Ila na yeye ajipange, wale hawatatulia lazima watamtafutia scandle ya revenge.

Hii sinema ndio kwanza trailer, yajayo yanafurahisha sana.
uliona mbali...
 
Harmonize amepata pakuwa jeruhi Wasafi, aitumie hio nafasi vizuri au lasivyo ikipita ataikumbuka.

Ila na yeye ajipange, wale hawatatulia lazima watamtafutia scandle ya revenge.

Hii sinema ndio kwanza trailer, yajayo yanafurahisha sana.
Jicho lako la tatu ni binocular, salute kwako. Game limegeuka, watoto wa town wataalam wa ku twist mambo hawakulala mpaka dogo kutoka Chitoholi akapotea steps na kuingia kwenye mtego wao.
Sasa wale aliotaka kuandaa maandamano kwa ajili yao ndiyo hao hao wanataka kuandaa maandano dhidi yake kwa 'ufedhuli' aliounyesha kwa 'minor' kumsababishia kuota ndoto za majinamizi.
 
Safi sana Harmonize, tena anzisha na NGO ya kuwasaidia wasichana na wanawake kupambana na udhalilishani mitandaoni nakuwawezesha kiuchumi.

Tumia nafasi yako ya kioo cha jamii uwe kioo kweli, uwe mfano wa kuigwa kwa watoto wetu wa kiume, kaka, wajomba babu, baba, shemeji na washkaji . Pigania haki. Mungu akusimamie. Ulimwengu ukusikize.
😀😀
 
Una uhakika gani alikua happy? Na pia hiyo haifuti ukweli kadhalilishwa!

Wanawake wangapi mnawabaka, Mnawanyanyasa, mnawatumia kwa vile mnaona wapo 'happy'? Mnahalilidha ufuska na udhalilishaji kwa kufurahisha hisia zetu!

Wadhalilishaji tunawaona mnavyotetea udhalilishaji!.

Go Harmonize, anzisha NGO na movement ya kupinga udhalilishaji wasichana. Tafuta partnership na serikali na mashirika ya kiserikali na kimataifa kwenye hili. Paza sauti kwa niaba ya wasichana. Dont slow down!
Kakusikia kisha anzisha NGO.
 
Back
Top Bottom