Ngoma bado mbichi kabisa, Harmonize na feminist Gyumi wameandaa maandamano makubwa Wasafi HQ

Ngoma bado mbichi kabisa, Harmonize na feminist Gyumi wameandaa maandamano makubwa Wasafi HQ

Bwana Mkaruka unapoteza muda kushindana na jamii ya vijana wenye uwezo finyu wa kuelewa na kupembua mambo,
Mtu yoyote ambaye ameelimika na muungwana hawezi shabikia Public Nudity ambazo hufanywa na wasanii wetu,
Ifike mahali tutambue kwamba wasanii ni kioo cha jamii hivyo ni lazima wawe na adamu ili kulinda jamii nzima.

Wajinga wajinga wote ambao wanashangilia hivi vitendo vya ngono kwanza nikuhakikishie kwamba wanatokea kwenye jamii za hovyo hovyo kabisa na hata mahakamani hawajawahi kufika. Ukishafika mahakamani na yakakukuta nadhani kuna kiwango fulani cha adabu utakuwa nacho.

Miaka ya nyuma kidogo nilikuwa nikiletewa kesi za namna hii au zile za ubakaji nilikuwa sioneshi hata chembe ya huruma kama waendesha mashitaka wengine. Utageuzwa mfano na utafungwa tu tena mvua nyingi labda uonewe huruma na hakimu au jaji. Ifike mahali ni lazima tutumie mitandao vizuri ili kulinda watoto wetu.

Ukifuatilia kesi ya Lulu utatambua kwamba alisema yeye yuko juu ya miaka 18, lakini baada ya Kanumba akasema yeye ni mtoto hivyo apelekwe Juvenile Court (Mahakama ya watoto). Lakini kwenye gazeti aliwahi kuweka cheti cha miaka 18 akisema "Nimetimiza miaka 18 sasa mabaunsa wa Club watanikoma". Waendesha mashitaka walitafuta yale magazeti na kuyapeleka mahakamani kuthibitisha kwamba Lulu siyo Minor.

Sasa nasema hivi "Ikithibitika huyo Paul ni mtoto wa chini ya miaka 18" basi imekula kwa huyo Rayvanny.
Lakini mpaka sasa kuvujisha video zao za namna hiyo ni sababu tosha kabisa ya kuwashikisha ababu wasanii kama yeye.
Akili unazo ila jalibu kudili na mihemko utakuwa poa zaidi
 
Tatizo lako kitu ķidogo unatumia akili nyingi
acha nibaki na upumbavu wangu
Dogo kama mtaendelea kushabikia huu upumbavu wa namna hii na kuona ni kawaida au ni ujanja,
Basi mepofuka na bado mna safari ndefu, tena mna safari ndefu mnooo.
What Rayvanny did is against The Common Precepts of decency.
 
As the matter of principle kufanya ngono na mtoto mdogo (A minor) ni kosa la ubakaji,
Lazima hili lisemwe na lipelekwe mahakamani ili uwe mfano kwa wengine hapa Tanzania.
Kesi kama hii ikiletwa kwangu mimi POSITIVIST huyo Rayvanny na Hamisa watachezea nyundo nyingi sana.
Minor ni mtu wa namna gani?
 
Sababu sio mwanafunzi ndiyo ruksa apigwe pipe na huyo Ranvany?? Tena anapost hadi picha?? Tuache utani! Huyu msanii anaweza potea hivi hivi! Labda wayamalize kikubwa

Waliokua wanamtetea Mobeto,baada yakuupata ukweli,mbona wameamua kukaa kimya?? Sioni uhusiano wowote wa Hamisa na Paula! Hadi amtoe lunch,kwani kwa Kajala hawapiki??

Ule mkwara wa Mobeto Hamisa kwa Kajala uko wapi?? Umeishia wapi??
Rayvany atapotea kwa kosa gani hapo.

Binti mkubwa na si mwanafunzi ,wala hakuleweshwa wala dawa yoyote,ebu sema kosa lake n nn hapo
 
Unajua watu wna akili mbovu sana! Yaani chuki zao wanataka kuzihamishia kwenye hili sakta! Paula ana miaka 19, na mwezi wa 7 anatimiza 20 halafu wanatokea kengeni "eti kadhalilishwa"! Mbaya zaidi hata ukiangalia video yenyewe halafu mtu aje aseme eti ilikuwa bila matakwa yake!! Wasivyotumia akili wala hawajiulizi why hata Majani mwenyewe wala time hana!!!
Ujinga ujinga tu
 
Nimekuuliza, nimembaka mamaako?! Au mamako alikuambia umezaliwa baada ya yeye kubakwa na akakuambia alibakwa na Boniface?! Sasa sikiliza. Kamuulize vizuri mamako alibakwa na nani hadi ukazaliwa badala ya kurukia kila mtu kunguni wewe

You exhibit mental breakdown or illness. Your an empty set upstairs therefore, I am not surprised with your thinking capacity. You seem controlled not by facts but emotions and guess work.

Stick to the subject, don't go personal bruh.

FYI I know none of the people you mentioned 😀😀.
 
Sababu sio mwanafunzi ndiyo ruksa apigwe pipe na huyo Ranvany?? Tena anapost hadi picha?? Tuache utani! Huyu msanii anaweza potea hivi hivi! Labda wayamalize kikubwa

Waliokua wanamtetea Mobeto,baada yakuupata ukweli,mbona wameamua kukaa kimya?? Sioni uhusiano wowote wa Hamisa na Paula! Hadi amtoe lunch,kwani kwa Kajala hawapiki??

Ule mkwara wa Mobeto Hamisa kwa Kajala uko wapi?? Umeishia wapi??
Unahoji mkwala wa Hamisa badala ya kuhoji la Konde Boy kwenda polisi kwa mtoto wa kambo wakati baba yake yupo mjini na time hana!! Hivi nyie watu mtaendelea kujitoa ufahamu hadi lini? Nadhani hata Majani mwenye binti yake anawashangaa!!!
 
Kamuulize vizuri mamako alibakwa na nani badala ya kudandia kila unayemuona na kudhani ndie alimbaka!!! Halafu mlivyo wapumbavu, Majani mwenyewe kasanda kwa Paula halafu nyie kenge tu ndo mnajifanya kuwa na uchungu kuliko baba mtu! Majinga sana nyie watu!

I cant debate with a fool.

Do you know where my mother is? Let her rest.

For this reason I rest my case, you are a fool, empty headed crook you cant even debate decently.

I am not who you think I am. Got get your facts and fight against and not for girls online bullying and sexual offenses.
 
I cant debate with a fool.

Do you know where my mother is? Let her rest.

For this reason I rest my case, you are a fool, empty headed crook you cant even debate decently.

I am not who you think I am. Got get your facts and fight against and not for girls online bullying and sexual offenses.
Hata ukitumia Kilatini let alone Kiingereza anachokijua hata Konde Boy haibadilishi ukweli kwamba unatakiwa kumuuliza vizuri mamako kuhusu ni nani hasa alimbaka ili ndipo uende kwake ukamwambia huo usen.ge wako lakini sio kudandia watu usiowajua na kuwaambia wabakaji!!
 
Hata ukitumia Kilatini let alone Kiingereza anachokijua hata Konde haibadilishi ukweli kwamba unatakiwa kumuuliza vizuri mamako kuhusu babako hasa nani? Akishakueleza, kam-face huyo babako halisi na kumuuliza kwanini alimbaka mamako!!

You can't even comprehend a single phrase there because you are a fool.

Not worth my time, bye Felicia!
 
Wala sitanii, ikithibitika umefanya ngono na mtoto chini ya miaka 18 unafungwa.
Mimi nataka huyu msanii na washirika wake wafungwe ili liwe fundisho kwa wahuni wengine.
Huwezi kufanya ufedhuli kama huu na kitoto, kisha ukajirekodi na kutuma mtandaoni ni ushenzi (barbarism)
kwanza serikal inatakaiwa iondoe iyo 18 iwe 10,saiv kitoto cha miaka 12 kinabomolewa tena vzuri tuu.
 
Visanii vya bongo bwana!! Eti Harmonize nae analalamika mwanae Paula kaliwa[emoji16][emoji16]
 
Back
Top Bottom