Ngoma mpya ya Ali Kiba ''Mvumo wa Radi''; Maoni na ushauri

Unaifaham afro pop vizuri mkuu kuna vionjo vya sebene kwenye huo wimbo
vyema sana..."" nasijapinga pia kuwa sebene lipo "" but limepigwa kwenye chorus pekee.....sasa hao wanakuja jumla nakusema kuwa ni sebene wakati nyimbo "" inavionjo vingi vya kiafrica...that's why nikasema ni afropop...kwa sababu huwezi kuiita sebene kwa vionjo vilivyopo tu kwenye chorus
 
Masaa manne tangu kuachiwa kwa ngoma mpya ya mvumo wa radi hatimaye wimbo huo umevunja rekodi kwa kujikusanyia vies 170K (170,000).

Rekodi hii inawekwa ikiwa wimbo huo haujapata promo yoyote.
HONGERENI SANA ALI KIBA KWA REKODI MPYA.
Sio mbaya iko poa
 
Huyu dogo mi simkubaligi ila wimbo wake huu ni mkareee
 
hahaaaa ..we are always back to the top......yooooohhhhhh
mambo niiiiiiii......mo fire

huyu mtt anaujua muziki asee ""hapa stoki u tube hadi bando liishe it's a classic song brah
 
mambo niiiiiiii......mo fire

huyu mtt anaujua muziki asee ""hapa stoki u tube hadi bando liishe it's a classic song brah
acha tu ndugu....kuna wimbo mmoja aliuimba leo clouds...hajauachia huo.dahhhhhh daaaahhh'' Jamaa NI hatari aissee
 
Jamaa anajichanganya kila kona, wacha nimsitiri kesho studio tukamalizie ngoma mpya ya mondi ni nomaa... [emoji41] [emoji441]
sawa ..mimi huwa napnda mziki mzuri ..kama ngoma atakayotoa itakuwa Kali ..basi nitaisaport pia....mbona hata kwangwaru naipnda pia...naipnda nyimbo Yke nyingine ile inayoitwa Pamela...ila hyo manyimbo mengine kama African beauty sijui " na ile ya kwenye harusi ..hapana nimewaachia wnyew mzisikileze aisee
 
Wimbo mzuri classic utavuma ni lazima uvume ni mzuri.
Halafu mimi napenda video za Alikiba za kipekee flani hivi hazina mambo mengi na migari na masofa meupe
Ila kuna jambo uwa nina jiuliza, kwenye vipindi vya Bongo fleva utakuta wanapiga huu wimbo wakati uko kam sebene ila kisa kaimba Alikiba lakini huwezi kukuta wanapiga sebene la Nyoshi au la Twanga Pepeta.
Sijui kwanini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…