Ngoma ya Ali Kiba yapigwa Wasafi TV masaa 6 mfululizo ,Kiba anena mazito

mkuu fanya setting
 
Well said, ndo reflection ya his thinking capacity!
 
Kama kweli kajibi hivyo basi huyu jamaa kweli ni bichwa maji, empty set kabisa.
 
Busara na hekima nchi hii ni janga
 
Kama kweli ndivyo alivyojibu, basi huyu jamaa amekosa maalifa ya mdomo na siamini kama kweli ndivyo alivyojibu.
 
Alikiba ni ni mpumbavu mpumbavu na ndio maana hafanikiwi anabaki kuwa avarage musician
 
kiba akili zake za mirungi tu na bangi ...
tatizo sio kiba tatizo ni miakili yetu wabongo, kuna maswali ya kujiuliza juu ya thread hii
1. kwanini imekuja andikwa huku kwenye jokesi+utani kwanini isiende andikwa kwenye habari?
2. mtoa mada alijuaje ilipigwa kuanzia 6 usiku hadi 12 hasubui?
 
Alikiba ni ni mpumbavu mpumbavu na ndio maana hafanikiwi anabaki kuwa avarage musician
mpumbavu wewe na sio kiba. hii page ni ya vichekesho na unaambiwa haiendani na maisha harisi ya muusika. na kesho mutakuja kumtukana hata madenge umu ndani!. kama majuha!,?
 
A.Kiba kajibu vizuri,hoja ya msingi hata kama angekuwa wewe kwanini wapige ngoma zake kwa masaa6 je hakuna nyimbo za wanamuziki wengine, au wasafi TV kunakitu wanachokonoa
 
Huyu Kiba boya sana kichwani kama kweli kajibu hivyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…