Ngono: Mwisho vijana watakunywa sumu

NATUBU: Hamna tatizo la nguvu za kiume labda kama hausimamishi kabisa.

Iko hivi nilizoea kupiga show za kawaida nikawa najiona nna hii shida mpaka nilipokutana na dada mmoja wa kuitwa B.

Huyu dada tulipojifungia tu chumbani akanilamba mwili mzima, sio masikio sio chuchu, sio kende sio shingo, kwa kifupi nilipatwa mizuka kama nina maimuna.

Nilipomkamata show yake alipopata upenyo alinisukuma akakimbilia chooni akajifungia. Nikasema leo nimekuwaje au kuna kitu nimekula?

Hiyo siku ikapita, nikakamata manzi nyingine R nikapiga kawaida tu yaani hata mwili haukutoka jasho, na zingine na zingine. Siku nyingine B akaniita tena shughuli ikawa ile ile mwisho wa show ni yeye kutafuta upenyo kunisukuma akimbilie chooni.

Nikawaza au hizi fujo zake za kunilambalamba kila kona (kasoro kwenye group maana unaweza jikuta kakuleftisha na sio admin).

Basi nilipoenda kwa R tena baada ya kumuandaa nikajilaza nikamwambia na yeye afanye kama nilivyomfanyia. Ebana eee kiliwaka, moto ulikuwa ni mkali kiasi tukajikuta tumekesha kwa bao 2 pekee, alijitahidi hakukimbia. Na encounter zingine nyingi.

Nikawa nimeelewa tatizo ni nini,
iko hivi mda wa kwichi kwichi wanawake wanaamini wao ndio wanatakiwa waandaliwe akishakuwa tayari basi we uchukue mti wako uzamishe, hapo mwili wa mwanaume unakuwa hauko Arousal kiasi inapelekea unakuwa kama unapiga nyeto tu ndio maana unakuwa hau perform. Na ndio maana ukimaliza bao 1 unakosa hamu ya kuendelea kwa walio wengi bao zinazofata anafanya tu asiishie kimoja akaonekana fala.

Wadada jitahidini kuwachezea chezea masela zenu wawape show za uhakika. Nguvu za kiume kama huna ni kama haisimami kabisa.

OVA.
 
Kama kuna watu wana tatizo la nguvu za kiume kuna uwezekano mkubwa sana wanaugua magonjwa mengine.

Watu ambao hawafanyi manual works au mazoezi wako kwenye kundi kubwa la wanaolalamika nguvu za kiume.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…