Ngono na mafanikio katika Biashara

Tuweni na mjadara mpana Sana. Maana kuna kipindi Naona maybe why kwa mfano wazungu wezetu wamefanikiwa kupiga hatua katika angle tofauti sababu kubwa huwa Naona kwasababu wapo serious sana kwenye mambo ya mapenzi. So Nasi waafrica tufanye nini kujinasua kwenye hili mie naita jinamizi? Late discus in postive and negative.
 
👍
 
Kuna dada mmoja kila anae mgonga Kama Yuko kazini kaajiliwa lazima apigwe chini Kaz ,Kama ana tuvibiashara vyake lazima afirisike

Watu weng hawaaamini katika haya mambo ishawah kunitokea nilipita na manz mmoja yule dada nikimla tu akienda sehemu yake ya Kaz anapiga pesa balaaa nikakushtuka dakika za mwisho jinsi yule dada alivyo jitoa kwangu akataka Hadi ndoa mwamba Sina habar mpaka Leo kaolewa lakini hachoki kunitafuta Sina muda nae.

Huyo mwingne nilimpitia tu enz ya ujana lakini mpaka leo nikiwa naumwa au Nina tatizo flan lazima ajue akiumwa yeye au tatizo lazima nijue tukichekiana katika simu lazima aseme au niseme kuna shida flani na hapo hatuja wasiliana Zaid ya miez mitatu Hadi minne

Ni hatari sana aiseeee na changamoto sana
 
Hakuna kitu kama hicho acheni kudanganyana , mapenzi ni mapenzi hayana uhusiano wowote na pesa unless kama unahonga sana
 
Hakuna kitu kama hicho acheni kudanganyana , mapenzi ni mapenzi hayana uhusiano wowote na pesa unless kama unahonga sana

Ni sawa huo ni mtazamo wako.

Lakini ukianza kuchunguza nyendo zako vzr kuanzia sasa kuna siku utagundua uhusiano upo.
 
Mbona mganga wangu alinipa sharti la kubadili papuchi kila miezi mitatu?
 
Ni sawa huo ni mtazamo wako.

Lakini ukianza kuchunguza nyendo zako vzr kuanzia sasa kuna siku utagundua uhusiano upo.
Hakuna uhusiano wowote kwenye tendo lenyewe ila kama utakuwa unahonga jubu ni ndio, pesa ni pesa na mapenzi ni mapenz ndio maana wenye pesa watia sana dada zenu na hawafilisiki
 
Kwa hiyo nikichepuka na mtu asiye na tabia Kama hizo juu ...ni sawa!
 
Hisia zisizo na uhalisia tu hizi, hakuna watu wachepukaji Kama hao matajiri au viongozi, Sasa mbona hawafilisiki? Na hizo maambukizo Ni laana tu baraka zenyewe haziambukizwi?
Kwamba akitembea na mwenye kusemwa uovu Basi ataambukizwa uovu na kwanini asiambukizwe baraka au wema au utajiri na sio ufukara? Kuna kitu hakipo sawa katika kukariri hizi theory's.. iweje ubebe mikosi pekee wakati mhusika ana both? Fanyeni upya research zenu za kiroho.

Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
 
Yaani hii kitu isikie tu kwa wenzako, ipo na ina work out, usijaribu utafilisika
Na kwanini asitajirike yule mwenye ufukara atembeapo na tajiri na badala yake tajiri afilisike?
Mnafanya tafiti halisi kweli? Matajiri hufanya ngono na yeyote wanaemuhitaji na sioni wakiwa mafukara kiasi mnachotishiana humu.

Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
 
Wakuelewe hapa......
Wanaishi kwa nadharia za uongo sana

Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
 
Aziniye na mwanamke hana akili,maana anafanya jambo la kumuangamiza. so,ukitaka laana na mabalaa ya ajabu ajabu fanya uzinzi. Kuna roho ya kufifisha mafanikio iko kwenye uzinzi.trust this!
Fix hizi hazina uhalisia.
Suleiman alieandika hili hakuna mwanadamu amemfikia mpaka Sasa kwa kufanya ngono halafu unaambiwa hakuna mwanadamu alikuwa na hekima na utajiri kumzidi....
Fanya vizuri utafiti wako

Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…