Daah, ama kweli Mungu aliumba viumbe vyake😄Habarini
Wana jf
Nina swali kidogo
Hivi mtu aliyejeruhiwa kichwani mfano kukatwa na panga kwenye utosii
Anaruhusiwa kufanya mapnz
Au mpka apone kabisa?
Na je akifanya hajapona kuna madhara gani?
😃😃😃Daah, ama kweli Mumgu aliumba viumbe vyake😄
Siku 366 huu.Daaah... Huu mwaka utakua mrefu ka treni
Hamna tatizo wewe mpe tu huyo jamaaJamni jibuni swali sio kujudge u don't know why am asking
Tell us first what makes you ask such a shocking question?? can't you wait until he/she heals?Jamni jibuni swali sio kujudge u don't know why am asking