Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa..Simfahamu
Pengine mgonjwa ndo anataka mkuu.Jamni jibuni swali sio kujudge u don't know why am asking
Ulikatwa na Panga?Habarini
Wana jf
Nina swali kidogo
Hivi mtu aliyejeruhiwa kichwani mfano kukatwa na panga kwenye utosii
Anaruhusiwa kufanya mapnz
Au mpka apone kabisa?
Na je akifanya hajapona kuna madhara gani?
Yani ww wa ajabu sana kwa hyo mapenzi ni bora kuliko afya yako.Habarini
Wana jf
Nina swali kidogo
Hivi mtu aliyejeruhiwa kichwani mfano kukatwa na panga kwenye utosii
Anaruhusiwa kufanya mapnz
Au mpka apone kabisa?
Na je akifanya hajapona kuna madhara gani?
Subiri apone kwanza. Anaweza kupata internal bleed au kuzimia wakati wa Tendo.Habarini
Wana jf
Nina swali kidogo
Hivi mtu aliyejeruhiwa kichwani mfano kukatwa na panga kwenye utosii
Anaruhusiwa kufanya mapnz
Au mpka apone kabisa?
Na je akifanya hajapona kuna madhara gani?
We na wewe mpana
Uroho gani huo, hebu muache majeruhi walau vidonda vikauke, siku moja tu kiu kama umetoka jela....Habarini
Wana jf
Nina swali kidogo
Hivi mtu aliyejeruhiwa kichwani mfano kukatwa na panga kwenye utosii
Anaruhusiwa kufanya mapnz
Au mpka apone kabisa?
Na je akifanya hajapona kuna madhara gani?
Mmmmmmmh its shocking to hear this Olright then......all the best in your sexual encouter with the injured man.... utuleteee na kamrejesho tafadhali...I mic him
Huyu nimwamba anataka kusukumaa Ngozi.Duuhh nikwamba Wee nijamaa unajeraha la kichwa ila unataka kula Mzigo??.
au Kuna Dem alipata Jeraha la kichwa, Sasa umekomaa naye tu unataka kula??
[emoji2][emoji2][emoji2]
Bora uishe tu.Huu mwaka vioja vingi mno.