Ngono na mtu aliyejeruhiwa

Ngono na mtu aliyejeruhiwa

Habarini
Wana jf
Nina swali kidogo
Hivi mtu aliyejeruhiwa kichwani mfano kukatwa na panga kwenye utosii
Anaruhusiwa kufanya mapnz
Au mpka apone kabisa?
Na je akifanya hajapona kuna madhara gani?
Njoo unipe hata mm tu jmn
 
Ngono inaweza kuwa na mtu ambaye yupo macho au mtu aliyelala. Au mtu kichaa au mlevi au mtu aliyekufa lakini mwili wake haujaharibika. Au mtu aliyekufa na mwili wake umeharibika.
Sasa,wewe umeuliza nini? Ngono na mtu aliyejeruhiwa?
Huyo mtu labda atashindwa kuhimili ngono?
Swali lako halijakamilika. Ngono inaweza kuwa na mwanamke au na epicine au na hanithi au na mwanaume au na myama. Wel unataka kufanya ngono nani.?
 
Ngono inaweza kuwa na mtu ambaye yupo macho au mtu aliyelala. Au mtu kichaa au mlevi au mtu aliyekufa lakini mwili wake haujaharibika. Au mtu aliyekufa na mwili wake umeharibika.
Sasa,wewe umeuliza nini? Ngono na mtu aliyejeruhiwa?
Huyo mtu labda atashindwa kuhimili ngono?
Swali lako halijakamilika. Ngono inaweza kuwa na mwanamke au na epicine au na hanithi au na mwanaume au na myama. Wel unataka kufanya ngono nani.?
Kwan hujaona kma apo ni mtu aliyekatwa panga au huelewi nn
 
Habarini
Wana jf
Nina swali kidogo
Hivi mtu aliyejeruhiwa kichwani mfano kukatwa na panga kwenye utosii
Anaruhusiwa kufanya mapnz
Au mpka apone kabisa?
Na je akifanya hajapona kuna madhara gani?
Msubiri mpaka apone acha pupa.Wanaokula maiti akili zao haziko sawa
 
Husikiagi huku pwani mtoto wa kiume akitiwa "Sunna" mama wa mtoto huwa anaacha kuzagamuliwa eti ili mpaka mtoto apone..
 
Habarini
Wana jf
Nina swali kidogo
Hivi mtu aliyejeruhiwa kichwani mfano kukatwa na panga kwenye utosii
Anaruhusiwa kufanya mapnz
Au mpka apone kabisa?
Na je akifanya hajapona kuna madhara gani?
Tulia upone sio ngono tu hata punyeto tu hutakiwi nyau wewe.

Puuza tukuzike.
 
Husikiagi huku pwani mtoto wa kiume akitiwa "Sunna" mama wa mtoto huwa anaacha kuzagamuliwa eti ili mpaka mtoto apone..
Ashakuja mmoja geto kafunga kitambaa mkononi nauliza anasema mwanae katiwa sunna mimi nikaweka mkuyenge na mwanae akapona kama kawa
 
Back
Top Bottom