Ngono na mtu aliyejeruhiwa

Ngono na mtu aliyejeruhiwa

Wewe ni nurse, dokta au muuguzi au mtu wa mochwari unataka kufanya mapenzi na mgonjwa/maiti?

Hivi mna Nini lakini!
 
Mapenzi kiungo cha mapenzi kipo wapi?

Kama kinafanya kazi wewe fanya mpaka utakaposikia maumivu ya kidonda
 
Habarini Wana JF,

Nina swali kidogo. Hivi mtu aliyejeruhiwa kichwani mfano kukatwa na panga kwenye utosii anaruhusiwa kufanya mapenzi au mpka apone kabisa?

Na je, akifanya hajapona kuna madhara gani?
muhimu kichwa cha chini ni kizima na kimafanya kazi
 
Yeye anasemaje, tendo la ndoa ni baina ya wawili wakubalianao...ushauri wa wana JF hautakusaidia kama yeye hataki.
 
Habarini Wana JF,

Nina swali kidogo. Hivi mtu aliyejeruhiwa kichwani mfano kukatwa na panga kwenye utosii anaruhusiwa kufanya mapenzi au mpka apone kabisa?

Na je, akifanya hajapona kuna madhara gani?
Duh! Nilidhani nimesikia vyote..
 
Huyu ni mwanamke ambaye mumewe kacharangwa mapanga kichwani.
Ameuguza weeee huku anavumilia na kumic kudinywa sasa kashindwa kuvumilia.
Ushauri wangu:yakubidi mfanye simple sex ya kuingiza tu kichwa kidogo!!! Asikamie sanaaaa asijetonesha majeraha
 
Habarini Wana JF,

Nina swali kidogo. Hivi mtu aliyejeruhiwa kichwani mfano kukatwa na panga kwenye utosii anaruhusiwa kufanya mapenzi au mpka apone kabisa?

Na je, akifanya hajapona kuna madhara gani?
Nadhani ubongo unaweza ukavuja
 
Back
Top Bottom