Smart911
Platinum Member
- Jan 3, 2014
- 135,167
- 160,806
Sijawahi kuzoazoa sweetheart...Sa Ndo uzoezoe 🤔????? Hahahaha.. Wee mwenyewe vingine unaishia kusema nhiiiiiiiiiiiii🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijawahi kuzoazoa sweetheart...Sa Ndo uzoezoe 🤔????? Hahahaha.. Wee mwenyewe vingine unaishia kusema nhiiiiiiiiiiiii🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣!
nipe namba yake na picha nimpe hudumaMimi mtu bahil sana.
Kuna kitoto kimoja kikali cheupe cha kimeru nikakijaza ndani ya 18 kesho nikakipige miti, kimwanafunzi cha DIT.
Nikapiga hesabu za haraka haraka chumba nauli vinywaji nikaona kama 80k, bado invoice ya huduma. Nikachek mambo mengine ya msingi nikaona mbona hii 80k ina solve fresh tu, nikaghairi.
Yan kutiana tu kuniingize gharama yote hii??
Aaaahhh sio kwel
Khakhakha! Njema hiooSijawahi kuzoazoa sweetheart...
Wadanganye tu vijana.Ukiwa na hela ya kutosha, huwezi kamwe kutoa angalizo la aina hii. Kwa hiyo ushauri wangu kwenu vujana ni huu hapa; tafuteni hela kwa bidii ili muweze kufaidi mema yote ya hapa duniani.
😂😂😂Kwani hela tunatafuta za nini ww jamaa! Si za kupigia miti. Au ww unatafuta hela za kulia Maandazi!?
Tutafute pesa kwa wingi ili tukidhi mahitaji yetu jameni.
Ss huyu masikini ameshindwa kutmb kisa hana pesa!
shida kipatoSiyo ubahili tu, ni kwamba 80k kwako ni kubwa kwa sababu una kipato kidogo.
Picha ninazo sema ndio hivyo ustaarabu kitu cha bure siwez kumuuza mtu bila ridhaa yake 😂nipe namba yake na picha nimpe huduma
usipo kahudumia mkuu, ujue kuna mwenzio anahudumia😂😂😂
Ujue mkuu kuto*mba kwa kujua kabisa unanunua huduma mimi siwez hataaa.
Pata ka manzi kako decent unakapiga milingoti huku unakahudumia kwa hiyari na kwa chochote sio kupeana invoice zenye efd kabisa
Hizi essay zingekusaidia kipindi unasoma form fourWasalaam wakuu!
Mara kadhaa nimesikia watu watu wakiilaumu pombe kama chanzo cha ufukara, mimi nakataa, nasema kuendekeza mayenu ni hatari zaidi ya pombe.
Kwa kifupi hakuna kiungo hatarishi kwa uchumi wa mwanaume kama vipochi manyoya. Sisi watu wa #kataa ndoa na baadhi ya waraibu wa mbunye walioko katika ndoa, tunapambana na visiki katika kuutafuta utelezi, kubali kataa, huo ndio ukweli, na hapa ipo!!
Ili kufanikisha zoezi la kukatiana mayenu na kipochi manyoya kwa mara kwanza gharama kama nauli, pombe, msosi, hoteli, n.k bila kusahau hela ya asante asubuhi lazima vihusike. Na baada ya hapo usipokuwa mjanja, mara nyingi vipochi manyoya hugeuka omba omba na kuanza kulia njaa hovyo hovyo.
Shikamoo uteleziii[emoji119]
bahili unakuwaje msaarabu 😆 😆 😆 😆Picha ninazo sema ndio hivyo ustaarabu kitu cha bure siwez kumuuza mtu bila ridhaa yake 😂
Tuendelee mkuuKwa hiyo tuache na kupiga puli?
Ahahahah..chief kwahiyo bahili hana utu sio? 😂bahili unakuwaje msaarabu 😆 😆 😆 😆
Salamakeko🖐️Hizi essay zingekusaidia kipindi unasoma form four
Haina shida maananhawa watoto siku hiz ni vya wote mkuuusipo kahudumia mkuu, ujue kuna mwenzio anahudumia
Hapo sawaTuendelee mkuu
Sawasawashida kipato
Mkuu hiyo Ni noma ungetumia zaidi ya laki moja alafu mizinga ingeanza hadi shemej angestuka.Mimi chief, nimekuja kujigundua kuwa ni bahil sanaaaaa
Pia huchafua nyotaWasalaam wakuu!
Mara kadhaa nimesikia watu watu wakiilaumu pombe kama chanzo cha ufukara, mimi nakataa, nasema kuendekeza mayenu ni hatari zaidi ya pombe.
Kwa kifupi hakuna kiungo hatarishi kwa uchumi wa mwanaume kama vipochi manyoya. Sisi watu wa #kataa ndoa na baadhi ya waraibu wa mbunye walioko katika ndoa, tunapambana na visiki katika kuutafuta utelezi, kubali kataa, huo ndio ukweli, na hapa ipo!!
Ili kufanikisha zoezi la kukatiana mayenu na kipochi manyoya kwa mara kwanza gharama kama nauli, pombe, msosi, hoteli, n.k bila kusahau hela ya asante asubuhi lazima vihusike. Na baada ya hapo usipokuwa mjanja, mara nyingi vipochi manyoya hugeuka omba omba na kuanza kulia njaa hovyo hovyo.
Shikamoo uteleziii[emoji119]
Nadhani ngono inaleta umaskini kama inanunuliwa kila inapohigajika. Yaani kama mwanaume anapata ngono kwa kununua akati kipato chake ni kidogo hapo kweli inaleta umaskini.Wasalaam wakuu!
Mara kadhaa nimesikia watu watu wakiilaumu pombe kama chanzo cha ufukara, mimi nakataa, nasema kuendekeza mayenu ni hatari zaidi ya pombe.
Kwa kifupi hakuna kiungo hatarishi kwa uchumi wa mwanaume kama vipochi manyoya. Sisi watu wa #kataa ndoa na baadhi ya waraibu wa mbunye walioko katika ndoa, tunapambana na visiki katika kuutafuta utelezi, kubali kataa, huo ndio ukweli, na hapa ipo!!
Ili kufanikisha zoezi la kukatiana mayenu na kipochi manyoya kwa mara kwanza gharama kama nauli, pombe, msosi, hoteli, n.k bila kusahau hela ya asante asubuhi lazima vihusike. Na baada ya hapo usipokuwa mjanja, mara nyingi vipochi manyoya hugeuka omba omba na kuanza kulia njaa hovyo hovyo.
Shikamoo uteleziii[emoji119]