Ngono ndio chanzo cha umasikini wetu wanaume

Ngono ndio chanzo cha umasikini wetu wanaume

Wasalaam wakuu!

Mara kadhaa nimesikia watu watu wakiilaumu pombe kama chanzo cha ufukara, mimi nakataa, nasema kuendekeza mayenu ni hatari zaidi ya pombe.

Kwa kifupi hakuna kiungo hatarishi kwa uchumi wa mwanaume kama vipochi manyoya. Sisi watu wa #kataa ndoa na baadhi ya waraibu wa mbunye walioko katika ndoa, tunapambana na visiki katika kuutafuta utelezi, kubali kataa, huo ndio ukweli, na hapa ipo!!

Ili kufanikisha zoezi la kukatiana mayenu na kipochi manyoya kwa mara kwanza gharama kama nauli, pombe, msosi, hoteli, n.k bila kusahau hela ya asante asubuhi lazima vihusike. Na baada ya hapo usipokuwa mjanja, mara nyingi vipochi manyoya hugeuka omba omba na kuanza kulia njaa hovyo hovyo.

Shikamoo uteleziii[emoji119]
Mi kunasiku nilitumia 70k kwa sababu ya papuch huku nadaiwa ada za watoto wangu roho iliniuma saana
 
Mimi mtu bahil sana.
Kuna kitoto kimoja kikali cheupe cha kimeru nikakijaza ndani ya 18 kesho nikakipige miti, kimwanafunzi cha DIT.
Nikapiga hesabu za haraka haraka chumba nauli vinywaji nikaona kama 80k, bado invoice ya huduma. Nikachek mambo mengine ya msingi nikaona mbona hii 80k ina solve fresh tu, nikaghairi.
Yan kutiana tu kuniingize gharama yote hii??
Aaaahhh sio kwel
Hapo sasa...
 
Mimi mtu bahil sana.
Kuna kitoto kimoja kikali cheupe cha kimeru nikakijaza ndani ya 18 kesho nikakipige miti, kimwanafunzi cha DIT.
Nikapiga hesabu za haraka haraka chumba nauli vinywaji nikaona kama 80k, bado invoice ya huduma. Nikachek mambo mengine ya msingi nikaona mbona hii 80k ina solve fresh tu, nikaghairi.
Yan kutiana tu kuniingize gharama yote hii??
Aaaahhh sio kwel
Kuchoma 100k ni kitu cha kawaida sana, ndio maana watu wanaona bora watulie. Lodge, kula/kunywa, nauli na mengineyo ni around 100k.
 
Kuchoma 100k ni kitu cha kawaida sana, ndio maana watu wanaona bora watulie. Lodge, kula/kunywa, nauli na mengineyo ni around 100k.
100k inachomeka kirahis mnoooo chief. Nikaona kwakua hii 80k at end of the time si kitu na lazima itaungua tu basi acha niichome kwenye mambo useful
 
100k inachomeka kirahis mnoooo chief. Nikaona kwakua hii 80k at end of the time si kitu na lazima itaungua tu basi acha niichome kwenye mambo useful
Kuna siku nilipeleka kazi moja hivi, ile natoka tu natumiwa invoice muhimu sana natakiwa ku~clear. Niliumia sana kuchoma ile pesa.
 
Mkuu hiyo Ni noma ungetumia zaidi ya laki moja alafu mizinga ingeanza hadi shemej angestuka.

Kuna mwanangu mmoja alikimbia demu club hahahaha..pombe peke yake dem alitumia kama elfu 90 alafu hapo bado hajaagiza chakula.
Akamuachia na deni la pombe au??
 
100k inachomeka kirahis mnoooo chief. Nikaona kwakua hii 80k at end of the time si kitu na lazima itaungua tu basi acha niichome kwenye mambo useful
Ila mi sikubali kwamba ngono inakula hela kuliko pombe, hapo nitakataa.

Kumbuka ngono unafanya mara moja moja, sio kila siku. ila kwa mnywaji anaweza kua anachoma 20- 30k karibu kila siku kwenye pombe, nyama choma na kutoa offer kwa watu. Sasa wewe ukitumia 80 kwa siku moja ambapo kuja kutumia tena ni mwezi ujao huoni kuna kanafuu..?
 
Kuna siku nilipeleka kazi moja hivi, ile natoka tu natumiwa invoice muhimu sana natakiwa ku~clear. Niliumia sana kuchoma ile pesa.
Ahahahaha.. mwenyewe nikaona
  • 80k ni zaid ya gharama ya unlimited internet monthly subscription pale ofisin
  • 80k ni zaidi ya post paid services expenses ya vijana wangu ofisni
  • 80k ni zaid ya meals expenses foe 2 weeks pale ofisin
Na mambo mengine kibaoo.

Sasa nikatoe zaod ya 80k kisa kukatikiwa mauno yenye Gono na PID, yote ya nin haya ?😂😂😂😂
 
Ila mi sikubali kwamba ngono inakula hela kuliko pombe, hapo nitakataa.

Kumbuka ngono unafanya mara moja moja, sio kila siku. ila kwa mnywaji anaweza kua anachoma 20- 30k karibu kila siku kwenye pombe, nyama choma na kutoa offer kwa watu. Sasa wewe ukitumia 80 kwa siku moja ambapo kuja kutumia tena ni mwezi ujao huoni kuna kanafuu..?
Mkuu wewe bado hujabobea kwenye ngono.
UBaya wa ngono unaendana na hayo mazaga ya pombe along side.
 
Back
Top Bottom