Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uzuri mimi pombe sinywi so nguvu nyingi nazielekeza kwenye mbususu ndio maana sioni kama ni gharama kubwa. Mimi mara moja moja hata kusafiri safari ya siku 3-5 kufuata mbususu mkoa hua sioni shida.Mkuu wewe bado hujabobea kwenye ngono.
UBaya wa ngono unaendana na hayo mazaga ya pombe along side.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mkuu hili Lina ukweli 90% kubali, kataa...Umasikini wako usisingizie kipochi manyoya..
Noted...Lazima tukubali ndoa tuache uhuni.
Hilo jitu la kwenye avatar yako ni kama Ibrahim haruna Lipumba Alie piga one ya 3 ya EGM 😀😊😊Mimi mtu bahil sana.
Kuna kitoto kimoja kikali cheupe cha kimeru nikakijaza ndani ya 18 kesho nikakipige miti, kimwanafunzi cha DIT.
Nikapiga hesabu za haraka haraka chumba nauli vinywaji nikaona kama 80k, bado invoice ya huduma. Nikachek mambo mengine ya msingi nikaona mbona hii 80k ina solve fresh tu, nikaghairi.
Yan kutiana tu kuniingize gharama yote hii??
Aaaahhh sio kwel
Pambana, chapa kazi kupata Maokoto.. [emoji23][emoji23]Mm sipendi ngono kivile ila ni maskini wa kutupwa, unaniambiaje juu ya hilo?
Kamanda kwanza unaendeleaje?Hilo jitu la kwenye avatar yako ni kama Ibrahim haruna Lipumba Alie piga one ya 3 ya EGM 😀😊😊
Wanauchumi tumeelewanaa 😀😀😊😊
Iliishiaje hapo..!!?Pale barbershop madem watundu sana,,
Baada ya kunyoa nikaenda kuosha kichwa,, imefika ule mda wa kusafisha sikio,, astaghafil yule manzi akaanza kunipuliza sikio sanjari na kunitoa uchafu,, jogoo aliamka ghafla [emoji1787],, akaona haitoshi anataka animasaj kabisa duuh,,
Naendelea vizuri now still nipo home kitandaniKamanda kwanza unaendeleaje?
Muulize Samson hahaha Daud na Suleiman! Haya mambo magumu yWasalaam wakuu!
Mara kadhaa nimesikia watu watu wakiilaumu pombe kama chanzo cha ufukara, mimi nakataa, nasema kuendekeza mayenu ni hatari zaidi ya pombe.
Kwa kifupi hakuna kiungo hatarishi kwa uchumi wa mwanaume kama vipochi manyoya. Sisi watu wa #kataa ndoa na baadhi ya waraibu wa mbunye walioko katika ndoa, tunapambana na visiki katika kuutafuta utelezi, kubali kataa, huo ndio ukweli, na hapa ipo!!
Ili kufanikisha zoezi la kukatiana mayenu na kipochi manyoya kwa mara kwanza gharama kama nauli, pombe, msosi, hoteli, n.k bila kusahau hela ya asante asubuhi lazima vihusike. Na baada ya hapo usipokuwa mjanja, mara nyingi vipochi manyoya hugeuka omba omba na kuanza kulia njaa hovyo hovyo.
Shikamoo uteleziii[emoji119]
Daah, hatariii.... [emoji23][emoji23]Ukiwa na kipato kikubwa na gharama zinakuwa kubwa. Utataka ulale hotelini mathalani chumba ni 100k
Hela ya vinywaji na msosi sehemu nzuri sio chini ya 100k.
Na aina ya mwanamke unayemtaka ana matumizi ya juu. Nywele na matumizi yake sio chini ya 200k.
Jumlisha mizunguko ya gari lako sio chini ya 100k.
Ki ufupi 500k itakutoka kwa starehe ya siku moja.
Sure chief. itakua sawa tu with timeNaendelea vizuri now still nipo home kitandani
Kua kitandani muda wote kunachosha
Keshokutwa ntafikisha wiki ya tatu tangu nipate ajari Asante sanaaaa kaka Kwa kunijulia Khali yangu
Ajar imenibadilisha sana mitazamo towards Life
All in all,
MUNGU NI MWEMA WAKATI WOTEEEEE WAKATI WOTEEEEE MUNGU NI MWEMA
🙏🙏🙏🙏
I believe 🙏Sure chief. itakua sawa tu with time
Mimi Labda Lulu.. [emoji23][emoji23]Mi labda Uwoya
[emoji16][emoji16]Mimi mtu bahil sana.
Kuna kitoto kimoja kikali cheupe cha kimeru nikakijaza ndani ya 18 kesho nikakipige miti, kimwanafunzi cha DIT.
Nikapiga hesabu za haraka haraka chumba nauli vinywaji nikaona kama 80k, bado invoice ya huduma. Nikachek mambo mengine ya msingi nikaona mbona hii 80k ina solve fresh tu, nikaghairi.
Yan kutiana tu kuniingize gharama yote hii??
Aaaahhh sio kwel
Et achana na hayo mambo ,unaachana vp na genye mkuu?Starehe ni gharama mkuu
Kama hujawa financial stable achana na haya mambo focus kwenye mambo ya msingi kwanza.
Unaitafunia vichakani nini mkuu?Situmii zaidi ya 20000 kwa date mpya,nikishakuzoea 10000 tu
Na wewe maskini ukawasili kutoa mchango[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Uzi wa maskini
Bro pombe haukuli pesa kama wanawake wanawake ni zaidi ya pombe kwa mfano mimi naweza kutumia buku 5 kwa siku lwa ajili ya pombe na hua sinywi kila siku kwa wiki nakunywa mara mbili au tatu ila kwa mademu unaweza ukawa unatomba demu mpya kila baada ya siku tano let say kwa mwezi unatomba mara 6 unadhani utakua unachoma kiasi gani kwa mwezi?Ila mi sikubali kwamba ngono inakula hela kuliko pombe, hapo nitakataa.
Kumbuka ngono unafanya mara moja moja, sio kila siku. ila kwa mnywaji anaweza kua anachoma 20- 30k karibu kila siku kwenye pombe, nyama choma na kutoa offer kwa watu. Sasa wewe ukitumia 80 kwa siku moja ambapo kuja kutumia tena ni mwezi ujao huoni kuna kanafuu..?