Ngono ndo chanzo cha umasikini wa waafrika acheni kuwasingizia wazungu juu ya umasikini wenu

Ngono ndo chanzo cha umasikini wa waafrika acheni kuwasingizia wazungu juu ya umasikini wenu

The redemeer

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2025
Posts
1,497
Reaction score
2,681
Ukifanya tafiti utagundua tendo la ngono kidunia ufanyika sana kusini mwa jangwa la Sahara kuliko sehemu zingine za dunia.
Hata ukifanya tafiti unagundua waafrika ndio wanaongoza kwa kuwa na wapenzi wengi kwa wakati mmoja kuliko race zingine.

Ngono ni nini ni tendo la kiroho na kimwili kwa pamoja kwa sababu linahusisha hisia na mwili viungo vya jinsia mbili kusuguana hili kuleta joto kuelekea mshindo satisfaction Kwa mujibu wa elimu ya ngono sexicology elimu zingine uzipati bongo.

Kupitia ngono ndipo kuna kusambazana sana kwa magonjwa yote ya kiroho na kimwili magonjwa ni ya aina mbili ya kiroho na ya kimwili ya kiroho uponywa kwenye nyumba za ibada au kwa waganga wa kiroho ya kimwili uponywa mahospitalini.

Magonjwa ya kiroho yatokanayo na ngono ni kama laana,mikosi, nuksi maandiko yanasema alalae na kahaba amekuwa mwili mmoja na kahaba.

Magonjwa ya kimwili kutokana na ngono ni ukimwi,kisonono, UTI, fungus, mengine home work wewe. Tunaposema umasikini ni nini umasikini ni laana.

Nchi za Africa ndio zinashika raslimali zote za Dunia lakini ndizo zinanuka umasikini si ajabu kukuta nyumba ya nyasi imejengwa juu ya ardhi yenye madini pembeni Pana mto unatirika maji mwaka mzima huku wakazi wa nyumba hizo wakipigwa jua na kuzeeka kwa kwashakoo.

Hapa shida ni nini hawa ni watu waliobiwa mateka yaani kufungwa ufahamu ( laana ).
Makatazo ya kutofanya ngono isiyotakaswa kwa maamrisho ya vitabu vyote vya dini ni kwa faida yako wewe Mungu hana hasara lengo usipate magonjwa ya kiroho na kimwili ili uwe na uzima tele uishi milele yaani angalau miaka 100 yenye baraka tele.

Hata wazee wa zamani kabla ya dini walikuwa hawafanyi ngono hovyo hovyo thus watu wote walioga mtoni bila kutamaniana we uoni jamii za bushmen si wapo uchi mbona hawafanyi hovyo ngono,kwa sababu ngono ni hitaji la akili na sio mwili ukiishi maisha ya kiroho maisha ya ndani unaweza ishi bila ngono tukisema ya kiroho sio dini ipo tofauti ya kiroho na kidini.

Matatizo yamekuja baada ya watu kuigeuza ngono kama burudani au kitega uchumi haya sio matumizi ya asili lengo la ngono ni kuzaliana na sio starehe.

Africa ndo bara tunawaza ngono mda wote we cheki kuanzia kwenye media zetu asubuhi hadi jioni ni maudhui ya ngono tu si tv Wala radio kupitia video na nyimbo plus cheza zote za waafrika ni kukatika viunoni tofauti na wenzetu dance zao utakuta ni za kuruka ruka sio kukata mauno kiashirio cha ngono.
 
Wewe utafiti wa kuwa ngono inafanyika sana Afrika umeufanya lini? Mkuu tuache ujuaji kumbuka bara la Afrika ni ndiyo bara changa sana kimuundo na kiutawala duniani hivyo umasikini wetu ni sehemu ya uchanga wetu. Lakini pia hoja ya kuwa Afrika inaongoza kwa kuwa na rasilimali nyingi duniani huo ni uongo.
 
Asikudanganye mtu,wazungu ndio wanaoongoza kwa kufanya ngono.
Hata porn sites nyingi ni za kizungu kuliko Africa

America ina watu zaidi ya milioni 300
China ina watu bilioni na ushee
Vile vile kwa India na Indonesia

Tanzania ndio Kwanza milioni sitini Tu afu wewe unasema waafrika wanapenda ngono.
Hii nimekataa
 
Ukifanya tafiti utagundua tendo la ngono kidunia ufanyika sana kusini mwa jangwa la Sahara kuliko sehemu zingine za dunia.
Hata ukifanya tafiti unagundua waafrika ndio wanaongoza kwa kuwa na wapenzi wengi kwa wakati mmoja kuliko race zingine.

Ngono ni nini ni tendo la kiroho na kimwili kwa pamoja kwa sababu linahusisha hisia na mwili viungo vya jinsia mbili kusuguana hili kuleta joto kuelekea mshindo satisfaction Kwa mujibu wa elimu ya ngono sexicology elimu zingine uzipati bongo.

Kupitia ngono ndipo kuna kusambazana sana kwa magonjwa yote ya kiroho na kimwili magonjwa ni ya aina mbili ya kiroho na ya kimwili ya kiroho uponywa kwenye nyumba za ibada au kwa waganga wa kiroho ya kimwili uponywa mahospitalini.

Magonjwa ya kiroho yatokanayo na ngono ni kama laana,mikosi, nuksi maandiko yanasema alalae na kahaba amekuwa mwili mmoja na kahaba.

Magonjwa ya kimwili kutokana na ngono ni ukimwi,kisonono, UTI, fungus, mengine home work wewe. Tunaposema umasikini ni nini umasikini ni laana.

Nchi za Africa ndio zinashika raslimali zote za Dunia lakini ndizo zinanuka umasikini si ajabu kukuta nyumba ya nyasi imejengwa juu ya ardhi yenye madini pembeni Pana mto unatirika maji mwaka mzima huku wakazi wa nyumba hizo wakipigwa jua na kuzeeka kwa kwashakoo.

Hapa shida ni nini hawa ni watu waliobiwa mateka yaani kufungwa ufahamu ( laana ).
Makatazo ya kutofanya ngono isiyotakaswa kwa maamrisho ya vitabu vyote vya dini ni kwa faida yako wewe Mungu hana hasara lengo usipate magonjwa ya kiroho na kimwili ili uwe na uzima tele uishi milele yaani angalau miaka 100 yenye baraka tele.

Hata wazee wa zamani kabla ya dini walikuwa hawafanyi ngono hovyo hovyo thus watu wote walioga mtoni bila kutamaniana we uoni jamii za bushmen si wapo uchi mbona hawafanyi hovyo ngono,kwa sababu ngono ni hitaji la akili na sio mwili ukiishi maisha ya kiroho maisha ya ndani unaweza ishi bila ngono tukisema ya kiroho sio dini ipo tofauti ya kiroho na kidini.

Matatizo yamekuja baada ya watu kuigeuza ngono kama burudani au kitega uchumi haya sio matumizi ya asili lengo la ngono ni kuzaliana na sio starehe.

Africa ndo bara tunawaza ngono mda wote we cheki kuanzia kwenye media zetu asubuhi hadi jioni ni maudhui ya ngono tu si tv Wala radio kupitia video na nyimbo plus cheza zote za waafrika ni kukatika viunoni tofauti na wenzetu dance zao utakuta ni za kuruka ruka sio kukata mauno kiashirio cha ngono.
sio kweli kwamba wafrika tunaongoza kwa ngono,nenda THAILAND,ITALIA,USA,JAMAIKA,HAITI,...hizi ni nchi kwa uchace tu,,,,,,,,kama ITALIA ina mambo ya ajabu,mpaka kuna Utalii wa kingono,nenda JAMAIKA ukaone watu walivopinda,,JAMAIKA ni bangi,pombe na ngono mzaee,,,,THAILAND ndio lango la kuzimu,,ok,,umesema kusini mwa jangwa sahara tunaongoza,,,ushaenda UGANGA,KENYA,NIGERIA,SENEGAL,BURKINA FASO,IVORY COAST,BENIN na JAMHURI YA AFRIKA YA KATI???ushaenda CONGO DRC wewe???,,,tafuta mwanajeshi wa JWTZ aliyetoka kulinda amani JAMHURI YA AFRIKA YA KATI ndo utabaki mdomo wazi!!!..."no-reseach,no right to speak"
 
Ngono hazina uhusiano na umasikini. Ngono ni sifa ya kiumbe hai kuzaliana. Sasa kama kiumbe hai hakifanyi ngono kitazaliana vipi? Mime tu yenyewe ina sehemu ya kike na kiume ili izaliane ndio maana kuna stigma, pollen, ovary. Kuhusisha ngono na umasikini huo ni upotoshaji
 
Uchapa kazi na akili za ubunifu hauhusiani na ngono kabisa
Kuna millionaires wao ngono kama chakula hao nao utawaita nani?
Africans wanahitaji kujali mda na kufanya kazi kwa bidii, kuacha wizi, ubadhirifu, na hata Rushwa

La sivyo tutajilaumu kila leo kwa ujinga
 
Back
Top Bottom