Ngono ndo chanzo cha umasikini wa waafrika acheni kuwasingizia wazungu juu ya umasikini wenu

Ngono ndo chanzo cha umasikini wa waafrika acheni kuwasingizia wazungu juu ya umasikini wenu

Ukifanya tafiti utagundua tendo la ngono kidunia ufanyika sana kusini mwa jangwa la Sahara kuliko sehemu zingine za dunia.
Hata ukifanya tafiti unagundua waafrika ndio wanaongoza kwa kuwa na wapenzi wengi kwa wakati mmoja kuliko race zingine.

Ngono ni nini ni tendo la kiroho na kimwili kwa pamoja kwa sababu linahusisha hisia na mwili viungo vya jinsia mbili kusuguana hili kuleta joto kuelekea mshindo satisfaction Kwa mujibu wa elimu ya ngono sexicology elimu zingine uzipati bongo.

Kupitia ngono ndipo kuna kusambazana sana kwa magonjwa yote ya kiroho na kimwili magonjwa ni ya aina mbili ya kiroho na ya kimwili ya kiroho uponywa kwenye nyumba za ibada au kwa waganga wa kiroho ya kimwili uponywa mahospitalini.

Magonjwa ya kiroho yatokanayo na ngono ni kama laana,mikosi, nuksi maandiko yanasema alalae na kahaba amekuwa mwili mmoja na kahaba.

Magonjwa ya kimwili kutokana na ngono ni ukimwi,kisonono, UTI, fungus, mengine home work wewe. Tunaposema umasikini ni nini umasikini ni laana.

Nchi za Africa ndio zinashika raslimali zote za Dunia lakini ndizo zinanuka umasikini si ajabu kukuta nyumba ya nyasi imejengwa juu ya ardhi yenye madini pembeni Pana mto unatirika maji mwaka mzima huku wakazi wa nyumba hizo wakipigwa jua na kuzeeka kwa kwashakoo.

Hapa shida ni nini hawa ni watu waliobiwa mateka yaani kufungwa ufahamu ( laana ).
Makatazo ya kutofanya ngono isiyotakaswa kwa maamrisho ya vitabu vyote vya dini ni kwa faida yako wewe Mungu hana hasara lengo usipate magonjwa ya kiroho na kimwili ili uwe na uzima tele uishi milele yaani angalau miaka 100 yenye baraka tele.

Hata wazee wa zamani kabla ya dini walikuwa hawafanyi ngono hovyo hovyo thus watu wote walioga mtoni bila kutamaniana we uoni jamii za bushmen si wapo uchi mbona hawafanyi hovyo ngono,kwa sababu ngono ni hitaji la akili na sio mwili ukiishi maisha ya kiroho maisha ya ndani unaweza ishi bila ngono tukisema ya kiroho sio dini ipo tofauti ya kiroho na kidini.

Matatizo yamekuja baada ya watu kuigeuza ngono kama burudani au kitega uchumi haya sio matumizi ya asili lengo la ngono ni kuzaliana na sio starehe.

Africa ndo bara tunawaza ngono mda wote we cheki kuanzia kwenye media zetu asubuhi hadi jioni ni maudhui ya ngono tu si tv Wala radio kupitia video na nyimbo plus cheza zote za waafrika ni kukatika viunoni tofauti na wenzetu dance zao utakuta ni za kuruka ruka sio kukata mauno kiashirio cha ngono.

Kwani andiko lako unaandika kutokea jimbo lipi pale USA river, ndugu mzungu?
 
Sasa niende wap Kuna pakwenda hapa Africa😀😀😀 na ndugu wamechimba kabisa makabur ya ukoo mzima 😀
Unaweza kwenda sehemu yoyote utakayo humu duniani ni swala la maamuzi tu , kwani unafikiri kila aliyepo humu yupo bongo?
 
Unaweza kwenda sehemu yoyote utakayo humu duniani ni swala la maamuzi tu , kwani unafikiri kila aliyepo humu yupo bongo?
Sasa naanzia wap?? Naenda Kwa nani kufanya nin Kwa Shughuli gan nikifikiria hayo sidhan kama nitatoa mguu hapa nilipo
 
Ukifanya tafiti utagundua tendo la ngono kidunia ufanyika sana kusini mwa jangwa la Sahara kuliko sehemu zingine za dunia.
Hata ukifanya tafiti unagundua waafrika ndio wanaongoza kwa kuwa na wapenzi wengi kwa wakati mmoja kuliko race zingine.

Ngono ni nini ni tendo la kiroho na kimwili kwa pamoja kwa sababu linahusisha hisia na mwili viungo vya jinsia mbili kusuguana hili kuleta joto kuelekea mshindo satisfaction Kwa mujibu wa elimu ya ngono sexicology elimu zingine uzipati bongo.

Kupitia ngono ndipo kuna kusambazana sana kwa magonjwa yote ya kiroho na kimwili magonjwa ni ya aina mbili ya kiroho na ya kimwili ya kiroho uponywa kwenye nyumba za ibada au kwa waganga wa kiroho ya kimwili uponywa mahospitalini.

Magonjwa ya kiroho yatokanayo na ngono ni kama laana,mikosi, nuksi maandiko yanasema alalae na kahaba amekuwa mwili mmoja na kahaba.

Magonjwa ya kimwili kutokana na ngono ni ukimwi,kisonono, UTI, fungus, mengine home work wewe. Tunaposema umasikini ni nini umasikini ni laana.

Nchi za Africa ndio zinashika raslimali zote za Dunia lakini ndizo zinanuka umasikini si ajabu kukuta nyumba ya nyasi imejengwa juu ya ardhi yenye madini pembeni Pana mto unatirika maji mwaka mzima huku wakazi wa nyumba hizo wakipigwa jua na kuzeeka kwa kwashakoo.

Hapa shida ni nini hawa ni watu waliobiwa mateka yaani kufungwa ufahamu ( laana ).
Makatazo ya kutofanya ngono isiyotakaswa kwa maamrisho ya vitabu vyote vya dini ni kwa faida yako wewe Mungu hana hasara lengo usipate magonjwa ya kiroho na kimwili ili uwe na uzima tele uishi milele yaani angalau miaka 100 yenye baraka tele.

Hata wazee wa zamani kabla ya dini walikuwa hawafanyi ngono hovyo hovyo thus watu wote walioga mtoni bila kutamaniana we uoni jamii za bushmen si wapo uchi mbona hawafanyi hovyo ngono,kwa sababu ngono ni hitaji la akili na sio mwili ukiishi maisha ya kiroho maisha ya ndani unaweza ishi bila ngono tukisema ya kiroho sio dini ipo tofauti ya kiroho na kidini.

Matatizo yamekuja baada ya watu kuigeuza ngono kama burudani au kitega uchumi haya sio matumizi ya asili lengo la ngono ni kuzaliana na sio starehe.

Africa ndo bara tunawaza ngono mda wote we cheki kuanzia kwenye media zetu asubuhi hadi jioni ni maudhui ya ngono tu si tv Wala radio kupitia video na nyimbo plus cheza zote za waafrika ni kukatika viunoni tofauti na wenzetu dance zao utakuta ni za kuruka ruka sio kukata mauno kiashirio cha ngono.
1: Kutolipwa Kwa masaa badala ya mwezi hili linaumiza wengi sana kwenye income generation
2: import products- hapa ndio janga kabisa nikuonyesha kiasi gani unategemea wenzio badala ya kutengeneza vyako,km unamiti lkn unategemea vijiti toka China hapa ni janga.
3: kutokua innovators,China kuna viwanda kuliko idadi ya watu kwakua siwote mtaajiliwa hivyo,msipokua wabunifu wa maisha ndio mnalia USAID ikifa/fungwa
In nutshell nchi bado sana tena mno.
 
Ngono haina uhusiano na umaskini wako. Elon Musk ana watoto kadhaa kwa wanawake tofauti ila ni tajiri namba moja. Pia ifike sehemu tukikosa hoja za kisayansi tukae kimya badala ya kuingiza mambo ya kiimani kwenye ishu kama hizi. Unaweza elezea kisayansi kuwa nitaathirika vipi kiuchumi kwa kulala na mwanamke? Lile tendo ni la asili kama kukojoa au kupiga chafya. Earning Money is a result of the value that you created. Halafu kulinganisha maisha ya bushmen na watu wengine ni kutaka kurudi kuishi miaka 1000 iliyopita.
kweli mazee!!!,,,ata nabii suleiman,alikuwa na wanawake zaidi ya 700 na masuria kibao,,,lakini alikuwa na utajiri wa ajabu,,,,,alikuwa akiwanda ndege kwa kutumia dhahabu[yaani,wewe wakati unawinda ndege kwa kutumia mawe,mwenzako alikuwa anawinda kwa ktumia dhahabu}...umesema kweli mkulugwa,huku kuna watu wankunywa chai kwa mbilimbi....
 
Dunia ina fusra nyingi , ukitumia Internet vizuri hakuna kitu ushindwa kupata.
Kwa sisi wengine mpaka tuelekezwe na tupewe mwongozo lasivo sehem tutakazo enda tembelea ni vijijin kwetu Sina exposure na Dunia ya nje sababu Sina wa kuniongoza
Dunia ina fusra nyingi , ukitumia Internet vizuri hakuna kitu utashindwa kupata.
 
Wajanja wa dunia walishatushika akili tuko tunacheza mziki wao, wametuaminisha kuwa kuendelea ni kumiliki nyumba ya tofali ya kuchoma au saruji tena iwe na vioo na nzuri zaidi iwe ya ghorofa.
Pembeni upaki motokari safi na uwe na unafanya kazi ya elimu ya chuo au uwe unafanya biashara za bidhaa zao au za Mchina.
Mwanao awe anasoma English Medium inayofuata mtaala wao.

tumesahau kuwa Duniani tumekuja kuishi siyo kupigania Maisha...
 
1: Kutolipwa Kwa masaa badala ya mwezi hili linaumiza wengi sana kwenye income generation
2: import products- hapa ndio janga kabisa nikuonyesha kiasi gani unategemea wenzio badala ya kutengeneza vyako,km unamiti lkn unategemea vijiti toka China hapa ni janga.
3: kutokua innovators,China kuna viwanda kuliko idadi ya watu kwakua siwote mtaajiliwa hivyo,msipokua wabunifu wa maisha ndio mnalia USAID ikifa/fungwa
In nutshell nchi bado sana tena mno.
Vyote hivi vipo kwenye mind na mind ndo inacontrol mwili
 
Zile ni filamu nazungumzia hali halisi fanya tafiti starehe yetu kubwa waafrika ni nini nje ya ngono
kwani makasino yameanzia wapi mzee, mpaka uone waafrika wamezidisha ngono? biashara ya kujiuza huko ulaya ikoje ukilinganisha na Africa? idad ya single mothers huko ulaya ikoje ukilinganisha na huku Africa?

Waafrica kinachotukost ni kutokuwa na bidii ya kufanya kazi na ubunifu hakuna, lakini sio ngono
 
kwani makasino yameanzia wapi mzee, mpaka uone waafrika wamezidisha ngono? biashara ya kujiuza huko ulaya ikoje ukilinganisha na Africa? idad ya single mothers huko ulaya ikoje ukilinganisha na huku Africa?

Waafrica kinachotukost ni kutokuwa na bidii ya kufanya kazi na ubunifu hakuna, lakini sio ngono
Nasema majority sio minority zaidi ya ngono kwetu sisi starehe nyingine kubwa ni ipi
 
Wajanja wa dunia walishatushika akili tuko tunacheza mziki wao, wametuaminisha kuwa kuendelea ni kumiliki nyumba ya tofali ya kuchoma au saruji tena iwe na vioo na nzuri zaidi iwe ya ghorofa.
Pembeni upaki motokari safi na uwe na unafanya kazi ya elimu ya chuo au uwe unafanya biashara za bidhaa zao au za Mchina.
Mwanao awe anasoma English Medium inayofuata mtaala wao.

tumesahau kuwa Duniani tumekuja kuishi siyo kupigania Maisha...
Hakuna mtu naweza kukuelewa
 
Siyo kweli, huu utafiti umefanyia wapi kwanza na lini
 
Back
Top Bottom