Ngono ndo chanzo cha umasikini wa waafrika acheni kuwasingizia wazungu juu ya umasikini wenu

Ngono haina uhusiano na umaskini wako. Elon Musk ana watoto kadhaa kwa wanawake tofauti ila ni tajiri namba moja. Pia ifike sehemu tukikosa hoja za kisayansi tukae kimya badala ya kuingiza mambo ya kiimani kwenye ishu kama hizi. Unaweza elezea kisayansi kuwa nitaathirika vipi kiuchumi kwa kulala na mwanamke? Lile tendo ni la asili kama kukojoa au kupiga chafya. Earning Money is a result of the value that you created. Halafu kulinganisha maisha ya bushmen na watu wengine ni kutaka kurudi kuishi miaka 1000 iliyopita.
 
Siakatai ya kwamba kuna ongezeko la kasi la idadi ya watu kusini mwa jangwa la sahara,,,ila Unaitaja Afrika hali ya kuwa Asia ndiyo baba Lao kwenye suala la kusex
 
Kaka mara zote nakuona una akili mingi sana , japo mambo ya uchama ni binafsi sana , ila hongera sana
 
Mbona mfalme Suleiman alikuwa tajiri?
 
Hizo porn sites ni za waafrica? je unajua huko ndio kunakofanyika uzinzi uliokithiri?
 
Elon Musk ana watoto kumi na mbili kutoka kwa wanawake tofauti tofauti na anaongoza kwa utajiri.
Suleiman alikuwa na wake wengi na bado aliongoza kwa utajiri .
So ngono haihusiani na umasikini.
 
Na bado hapo ni mwanzo tu kwani umefungwa kamba mguuni?🀣🀣
Sasa niende wap Kuna pakwenda hapa AfricaπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ na ndugu wamechimba kabisa makabur ya ukoo mzima πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…