matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 7,968
- 19,368
Hela inaangukia namba 0 halafu ndo ije 1 chakulaHela je?
Chakula na mavazi ndio hela hizo mkuuHela je?
Hapo chakulaSisi watumishi akili zetu zimekubali kuongozwa na maandiko.
Maandiko katika kutoka 21:10 inatoa list ya mahitaji ya muhimu kwa mke au mwanamke.
1: Chakula.
2:Mavazi.
3: Ngono.
Kabla hujajiandaa kupiga misamba na style mbalimbali za kumfaidi mwanamke wako hakidha kwanza unamlisha vizuri, unampa mavazi yamfanye ajisikie vizuri hapo tendo lq ndoa litaongezeka unono.
Ni hayo tu.
Kutoka 21:10
Kwamba ajitwalia mke mwingine, chakula chake huyo, na nguo zake, na ngono yake, hatampunguzia.
6. Maokoto1. Hela
2. Fedha
3. Money
4. Pesa
5. Ndio hayo mengine sasa.
Vikoba na kausha dam watalipia kwa chakula na mavazi?Chakula na mavazi ndio hela hizo mkuu
π€£π€£π€£π€£6. Maokoto
7. Miamala
8. Kodi ya meza
9. Mtonyo
10. Faranga
π€£π€£π€£
dah mpaka mdogo wake nikue, nahisi uta nitolea mfano dunia nzimaππ€£Ukimsikiliza mleta thread unajidanganya kijana Intelligent businessman
1- 3 ni pesa la sivyo utaitwa majina ya ajabu ufike kulia hapa.
0.99 sioHela inaangukia namba 0 halafu ndo ije 1 chakula