Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pesa ndo kitu cha mhimu kabla ya hivyo vyoteSisi watumishi akili zetu zimekubali kuongozwa na maandiko.
Maandiko katika kutoka 21:10 inatoa list ya mahitaji ya muhimu kwa mke au mwanamke.
1: Chakula.
2:Mavazi.
3: Ngono.
Kabla hujajiandaa kupiga misamba na style mbalimbali za kumfaidi mwanamke wako hakidha kwanza unamlisha vizuri, unampa mavazi yamfanye ajisikie vizuri hapo tendo lq ndoa litaongezeka unono.
Ni hayo tu.
Kutoka 21:10
Kwamba ajitwalia mke mwingine, chakula chake huyo, na nguo zake, na ngono yake, hatampunguzia.
Nimecheka lakini sijakuelewa..hao wabinti wako watakuua.dah mpaka mdogo wake nikupe, nahisi uta nitolea mfano dunia nzima😂🤣
Hadi namba 3 ni PesaPesa imekava namba 1&2
🤣🤣🤣
Namaanisha nikue, ahh yeah help me get a nice girl with some great attitude 😁😊😊Nimecheka lakini sijakuelewa..hao wabinti wako watakuua.
Unahitaji msaada wa ndugu upate mrembo sasa hivi?
Yesssir! 😆0.99 sio
Sio kwa mwanamke tu ni kwa Kila binadamu, hayo tunaita mahitaaji muhimu ya binadam ni mara chache saana mtu aliyetimamu kuwaza ngono kama hayo hayajakamilika kwake kwa siku hiyo.Sisi watumishi akili zetu zimekubali kuongozwa na maandiko.
Maandiko katika kutoka 21:10 inatoa list ya mahitaji ya muhimu kwa mke au mwanamke.
1: Chakula.
2:Mavazi.
3: Ngono.
Kabla hujajiandaa kupiga misamba na style mbalimbali za kumfaidi mwanamke wako hakidha kwanza unamlisha vizuri, unampa mavazi yamfanye ajisikie vizuri hapo tendo lq ndoa litaongezeka unono.
Ni hayo tu.
Kutoka 21:10
Kwamba ajitwalia mke mwingine, chakula chake huyo, na nguo zake, na ngono yake, hatampunguzia.
11 Mkwanja6. Maokoto
7. Miamala
8. Kodi ya meza
9. Mtonyo
10. Faranga
🤣🤣🤣
Heeee...Ayenii😂6. Maokoto
7. Miamala
8. Kodi ya meza
9. Mtonyo
10. Faranga
🤣🤣🤣
Wanawake na pesa 🤔Yesssir! 😆
With SOME great attitudeNamaanisha nikue, ahh yeah help me get a nice girl with some great attitude 😁😊😊
nataka awe slim curvy, tall and white au maji ya kunde, booty ikiwa kubwa Sana hawana akili😂🤣With SOME great attitude
Vipi,Big booty hutaki?
Kwahiyo nikikupa makaratasi mnayoyaita pesa inakutosha wewe na kuchana msamba?Hela inaangukia namba 0 halafu ndo ije 1 chakula
Kwahiyo nikikupa makalatasi mnayoyaita pesa inakutosha wewe na kuchana msamba?
Kimsingi nyie mabinti masikini ambao mmetokea familia duni hamtaki hela ila mnataka vitu ambavyo mnaweza vipata/nunua kwa kutumia pesa.
Mfano. Sikupi karatasi/pesa ila nakupa gari, nakupeleka kwenye migahawa mizuri na kukununulia chakula kitamu, nakununulia nguo na vipodozi n.k.
Nitahakikisha kila hitaji lako nakupatia ila sikupi pesa/karatasi. Je hutanipa huo utam?
Naaaaaam umepata, ngoja nikitumie mawasiliano yake...nataka awe slim curvy, tall and white au maji ya kunde, booty ikiwa kubwa Sana hawana akili😂🤣