Ngono ni hitaji namba 3 kwa mwanamke. Lazima uanze kumpa haya mawili kwanza

Ngono ni hitaji namba 3 kwa mwanamke. Lazima uanze kumpa haya mawili kwanza

Sisi watumishi akili zetu zimekubali kuongozwa na maandiko.

Maandiko katika kutoka 21:10 inatoa list ya mahitaji ya muhimu kwa mke au mwanamke.

1: Chakula.
2:Mavazi.
3: Ngono.
Kabla hujajiandaa kupiga misamba na style mbalimbali za kumfaidi mwanamke wako hakidha kwanza unamlisha vizuri, unampa mavazi yamfanye ajisikie vizuri hapo tendo lq ndoa litaongezeka unono.

Ni hayo tu.


Kutoka 21:10
Kwamba ajitwalia mke mwingine, chakula chake huyo, na nguo zake, na ngono yake, hatampunguzia.
Pesa ndo kitu cha mhimu kabla ya hivyo vyote
 
Sisi watumishi akili zetu zimekubali kuongozwa na maandiko.

Maandiko katika kutoka 21:10 inatoa list ya mahitaji ya muhimu kwa mke au mwanamke.

1: Chakula.
2:Mavazi.
3: Ngono.
Kabla hujajiandaa kupiga misamba na style mbalimbali za kumfaidi mwanamke wako hakidha kwanza unamlisha vizuri, unampa mavazi yamfanye ajisikie vizuri hapo tendo lq ndoa litaongezeka unono.

Ni hayo tu.


Kutoka 21:10
Kwamba ajitwalia mke mwingine, chakula chake huyo, na nguo zake, na ngono yake, hatampunguzia.
Sio kwa mwanamke tu ni kwa Kila binadamu, hayo tunaita mahitaaji muhimu ya binadam ni mara chache saana mtu aliyetimamu kuwaza ngono kama hayo hayajakamilika kwake kwa siku hiyo.
 
Hela inaangukia namba 0 halafu ndo ije 1 chakula
Kwahiyo nikikupa makaratasi mnayoyaita pesa inakutosha wewe na kuchana msamba?

Kimsingi nyie mabinti masikini ambao mmetokea familia duni hamtaki hela ila mnataka vitu ambavyo mnaweza vipata/nunua kwa kutumia pesa.

Mfano. Sikupi karatasi/pesa ila nakupa gari, nakupeleka kwenye migahawa mizuri na kukununulia chakula kitamu, nakununulia nguo na vipodozi n.k.

Nitahakikisha kila hitaji lako nakupatia ila sikupi pesa/karatasi. Je hutanipa huo utam?
 
Kwahiyo nikikupa makalatasi mnayoyaita pesa inakutosha wewe na kuchana msamba?

Kimsingi nyie mabinti masikini ambao mmetokea familia duni hamtaki hela ila mnataka vitu ambavyo mnaweza vipata/nunua kwa kutumia pesa.

Mfano. Sikupi karatasi/pesa ila nakupa gari, nakupeleka kwenye migahawa mizuri na kukununulia chakula kitamu, nakununulia nguo na vipodozi n.k.

Nitahakikisha kila hitaji lako nakupatia ila sikupi pesa/karatasi. Je hutanipa huo utam?


Kalatasi ❌
Karatasi ✔
 
Back
Top Bottom