Ngono ni ibada na madhabahu

Ngono ni ibada na madhabahu

Okay, inawezekana kutoa nguvu hasi zilizoingia mwilini kutokana na ngono?

Je, chumvi ya mawe hapa inahusika kama tiba?

Je, inakuwaje kila unapotoka kujamiiana na mtu wako umpendae ukawa unaoga maji ya chumvi ya mawe huku ukinuiza nguvu hasi zikutoke (mikosi na liana vya unayengonoka nae).... inafanya kazi?

Au nguvu nyingine zikiingia ndo unaambatana nazo hadi kifo?

Kuna namna ya kurejesha nguvu ulizoziacha kwa uliojamiiana nao? (Rejuvinate your energy)??

Sijui nachanganya madesa...[emoji16][emoji848][emoji848]
Chumvi ni tiba bora kabisa lakini kama mwenzi wako ni mchafu kiroho na kabeba negative energy nyingi unapaswa kujitenga naye ... Maana utajisafisha lakini atakuchafua tena
 
Asante, nilitaka ufike hapa, rejea mada namba 1 pale juu.....

Hii kubadilishana nguvu hasi na chanya na roho kuingiliana wakati wa tendo, inafanyika kwenye ngono tuu ambayo ni namba 2 (sex).

Au hata namba 1 (making love)???

Am holding a declaration [emoji4].
b369594c4801c1d0432e70479a57be05.jpg
 
Mvuto inamaana huna mikosi ..ikiwa kila sehemu utakayopita kama maofisini na masokoni utapata msaada au chochote kile bila kutumia nguvu basi wewe nguvu chanya yako iko juu, dalili za kutambua nguvu chanya yako iko juu. ( 1) ukiwa kwenye kundi la watu ukaanzisha mada watu huvutiwa kukusikiliza. (2 ) kuna watu ukiwazingua wanaumia sana na kuhisi hawawezi kuishi bila wewe. ( 3) kufika sehemu ambayo hujawahi kuishi na sehemu hiyo watu kukuzoea kwa haraka na kukuamini
 
Na sisi wapiga punyeto je
Wapiga punyeto mmelaanika pia sababu Onani alijamiiana na Mjane (Mke wa Marehemu Kaka yake wa damu) akamwaga gametiume nnje ya uke wa huyo Ke, ilimghadhibisha BWANA.

MWANZO 38:8-10.

Yuda akamwambia Onani, Uingie kwa mke wa nduguyo, ukamwoe, ukamwinulie nduguyo uzao.

Onani alijua ya kwamba huo uzao hautakuwa wake, ikawa, alipoingia kwa mke wa nduguye, akamwagia chini asimpe nduguye uzao.

Neno hili alilolifanya likawa baya machoni pa BWANA, basi akamwua yeye naye.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Tena nyie ndio kabisa maana mnalisha maroho machafu bila kujijua ndio maana baadhi wanashindwa kutoka huko kutokana na manii zao kuwa tamu hivyo hutekwa kabida na kugeuzwa watumwa wa kuzalisha hicho chakula! Kuna manii chungu pia
Hahaha [emoji1787]
"Tena nyie ndio kabisa maana mnalisha maroho machafu bila kujijua"[emoji23][emoji23]
 
Baraka au mikosi ya ngono inategemea unakutana na Nani Kwny ngono?

Kuna wanawake naturally Wana upepo mzuri, ukipiga michongo yako inanyooka.
mfano mzuri:wema sepetu,mamaJ n.k[emoji4]
Hakuna kitu kama hicho, hapo shetani ndiye anayekufanyia maigizo tupu, kumbuka Ibilisi ndiye Mwasisi Mkuu wa uwongo tangu pale bustanini Eden.

Na hayo maigizo alimfanyia sana Musa Nabii wa Mungu kupitia Farao Mfalme wa Misri.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
I feel like declaring something, ila kuna roho imesita....[emoji848][emoji848][emoji848]

1. Making Love (kiswahili chake [emoji2368][emoji2368])

2. Sex (kiswahili chake [emoji2368][emoji2368])

Asemacho Mshana ni uhalisia wa maisha ya mwanadamu, yanatokea kwa wengi.
Kasie Mtata A.K.A Toto zuri la kishua toka Tanga City [emoji1]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Thread ya kukata hamu
Kissing The Person You Deeply Truly Want

Kissing the person you deeply, truly want. Man, what a drug. There's nothing else quite like it. Fireworks flash on the backs of your eyelids, and the drums [emoji7][emoji173]
 
Sahii kabisa,
Na asilimia Kubwa ya wenye nyota za mafanikio kupitia ngono, wao hawanufaiki na nyota hizo. Huwa wanakua ni daraja TU.

Juma anaekunyandua ukanenepa,
Utashangaa kuona afya yake yeye kadhoofika.

Shaban anaekunyandua ukachunda,
Utashangaa kuona afya yake kanawiri ile mbaya.

CHUNGUZA HILO MKUU[emoji4]
Chifu acha kupotosha, hii dhambi itakutafuna hadi kizazi chako cha 3 & 4.

Umesahau kipi kilichompata Mfalme Suleiman aliyekuwa na Ke 300 baada ya kuchepuka na Masuria 700 waliombadilisha akamuasi Mungu na kuabudu miungu hatimaye akajuta na kuona yote ni ubatili mtupu pasipo kumcha Mungu?

Chunguza vizuri matokeo mwisho wa safari huwaje wala si mwenendo wa ngono, utanishukuru.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Yote hayo yanategemea na nyota ya uyo unayepiga,
ndo maana usishangae Wengine wanatumia gharama Kubwa kufanya ngono na flani, Tena kwa ushindan mkubwa sn.

Jicho la tatu lishaona, Ukipiga pale unatoboa.

Ngono inaweza kua Njia ya mafanikio/mikosi[emoji4]
Tupe mfano hai mkuu
 
Ngono sio ngono tu; usiwaache wakudanganye.

Unaweza kuondoka, lakini nguvu zao zimefungwa kwako. Mawazo yao, mitetemo yao, na nafsi hufungamana na yako. Ikiwa una uhusiano wa kingono na watu kadhaa kwa wakati mmoja, basi unachukua nguvu kadhaa. Ndio maana kuna wakati unajihisi kuchanganyikiwa, huzuni, uchovu, hasira, furaha, au mfadhaiko. Huishi peke yako tena; una nguvu zao hasi na chanya mchanganyiko.
Wakati unaandika hii comment ulikuwa katika state gani kifikra? Sijaelewa kitu..au mimi ni kiazi!!
 
Back
Top Bottom