Ngono ni ibada na madhabahu

Ngono ni ibada na madhabahu

Yaani iko hivi
NGUVU na usafi wa kiroho vina mahusiano makubwa sana na ngono.. Kadiri unavyofanya ngono na watu wachache ndivyo nguvu na usafi wako kiroho unavyokuwa mkubwa
LAKINI
Kadiri unavyongonoka na wengi unatapanya nguvu zako huku nawe ukibeba nguvu zao.. Hatufanani nguvu, hivyo mwisho wa siku unajikuta una mixer moja hatari sana ya NGUVU tofauti mwilini mwako

Hizo sasa ndio zitakuletea stress, mikwamo, nuksi hasira kupoteza vitu kushindwa nknk
Unaweza jitunza Sana,
Ukakutana na uyo mmoja ana mikosi na malaana lukuki, kila unachofanya utoboi.
Cha muhimu kuchagua vema na mungu akuongoze TU, haya mambo ya nyota yapo sn.
 
Wakati unaandika hii comment ulikuwa katika state gani kifikra? Sijaelewa kitu..au mimi ni kiazi!!
Mkuu umeandika vizuri ila umemaliza vibaya. Unajitoleaje mfano wa kiazi? Unajua mtu akikuita kiazi amekutukana Sana?

Mtu akikuambia wewe kiazi anamaanisha hauliwi bila kutiwa Dole gumba ili kimong'onyoke Kisha ndiyo kiwekwe mdomoni.

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu umeandika vizuri ila umemaliza vibaya. Unajitoleaje mfano wa kiazi? Unajua mtu akikuita kiazi amekutukana Sana?

Mtu akikuambia wewe kiazi anamaanisha hauliwi bila kutiwa Dole gumba ili kimong'onyoke Kisha ndiyo kiwekwe mdomoni.

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Duh[emoji3064]
 
Chifu acha kupotosha, hii dhambi itakutafuna hadi kizazi chako cha 3 & 4.

Umesahau kipi kilichompata Mfalme Suleiman aliyekuwa na Ke 300 baada ya kuchepuka na Masuria 700 waliombadilisha akamuasi Mungu na kuabudu miungu hatimaye akajuta na kuona yote ni ubatili mtupu pasipo kumcha Mungu?

Chunguza vizuri matokeo mwisho wa safari huwaje wala si mwenendo wa ngono, utanishukuru.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Comment yangu haijahamasisha tuwe na mahawara wengi, Bali imeongelea uhalisia wa mtoa mada alichotaka kutuaminisha.

Ni sawa na yule anayesema,
"Pombe inamaliza pesa,huwezi kujenga"
Tutajiuliza Ni mashehe na wasabato wangapi hawajajenga japo hawanywi pombe.
 
Yani hili kweli kabisa,,kuna papuchi ukitunukiwa mambo yananyooka ila kuna nyingine sasa loh, utaandamwa na nuksi hadi hio nguvu ikiisha ndani kwako
1. Mfatilie wema,
Kawasindikiza Wanaume wangapi ktk utajiri,mafanikio na umaarufu wao,
angalia maisha yake Sasa,amefifia sn kiuchumi na Anasikitisha Sana[emoji26]

2. Mwangalie masanja mmakonde
Kawaangusha Wanaume wangapi ktk utajiri wao,mafanikio na umaarufu wao.
Angalia maisha yake Sasa, ana-shine kiuchumi na anazidi kunawiri[emoji4]
 
unakuta mtu anapiga nyeto, anatomber malaya wa kila aina, anatazama porn za kila aina.. na anatoboa tu..
Nimecheka sana, hizo ni roho za kishetani ndizo zinazomtumikisha huyo Mtu.

Enzi niko katika huo utumwa niliduu PISI KALI kama zooote...[emoji1787]

Beyonce.
Shakira
Kim Kardashian.
Jessica Simpson.
Miss World wa kipindi hicho.
Miss Tanzania Nancy Sumari.
Wabrazil
Walatini wa Mexico.
Wahindi wa kuchi kuchi hothae.
Ke-Afrcasts.

Madharaya punyeto/Masterbation psychological torture:

1. Kupoteza kumbukumbu mara kwa mara.

2. Athari za kupata ugumba kwa kupungua kwa gametiume zenye nguvu za kutungisha ujauzito.

3. Uchovu mwingi kuliko aliyejamiiana kiuhalisia maana nguvu kubwa ya akili hutumika kuvuta hisia.

4. Kukosa kujiamini kumridhisha Ke mkijamiiana maana utawahi kupizi kwa kumkumbuka Ke Mzuri sana bandia aliyejengeka katika ubongo na roho ya kishetani.

5. Kutovutiwa na Ke halisi maana ukitaka tu kumtongoza saikolojia ya ubongo na roho mchafu(pepo) vitakukumbusha kulinganisha ubora na sababu uko katika kifungo cha shetani hutaweza kung'amua kuwa Ke halisi ndiye Mzuri kuliko Ke bandia aliye katika ubongo kisaikolojia na kishetani.


Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
😄😄😄😄wabongo bwana kilakitu lazima wakihusishe na nguvu zagiza.halafu wanajiona wajaaaaanja wenyewe kumbe viazi tuu.ndiomana hata hawa manabii feki wamewashika Sana kiasi Cha kujaza uwanja mzima ili waombewe🤣matatizo yao yaishe🤣poleni Sana mnao amini nguvu zagiza..semeni ..ansante halafu mkaoge maji yachunvi🤣🤣🤣🤣
 
1. Mfatilie wema,
Kawasindikiza Wanaume wangapi ktk utajiri,mafanikio na umaarufu wao,
angalia maisha yake Sasa,amefifia sn kiuchumi na Anasikitisha Sana[emoji26]

2. Mwangalie masanja mmakonde
Kawaangusha Wanaume wangapi ktk utajiri wao,mafanikio na umaarufu wao.
Angalia maisha yake Sasa, ana-shine kiuchumi na anazidi kunawiri[emoji4]
Sema hii naona kwa wanawake ndo inakuaga sana ,wanatumika bila wao kujua.......shida siku hizi watu wanataka kurukaruka ndoa ndo hawataki au kutulia na mtu m1, hapo angetunuku njemba 1 anatulia nayo hio njemba ikikua inakua nae, na zamani wazee wengi walikua wanaenda hivyo......,kwa sasa naonaga sana kwa wahindi na waarabu, wanawake wao wanatulia tu nyumbani wanaume wanatafuta,ila kismati cha wanaume kupata michongo ya pesa kinatoka kwa wanawake, ndo maana jamaa kwa wake zao wanakua wadogo ila huku nje ndo mikwara mingi
 
Comment yangu haijahamasisha tuwe na mahawara wengi, Bali imeongelea uhalisia wa mtoa mada alichotaka kutuaminisha.

Ni sawa na yule anayesema,
"Pombe inamaliza pesa,huwezi kujenga"
Tutajiuliza Ni mashehe na wasabato wangapi hawajajenga japo hawanywi pombe.
Unapambana sana Chifu ilimradi tu usipoteze kombe lako la Mama J Mchepuko wako [emoji28]

Anyway Mungu akuongoze utembee vyema usinase kwa yule mtesi wetu (shetani).

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom