Ngono ni ibada na madhabahu

Chumvi ni tiba bora kabisa lakini kama mwenzi wako ni mchafu kiroho na kabeba negative energy nyingi unapaswa kujitenga naye ... Maana utajisafisha lakini atakuchafua tena
 
 
Mvuto inamaana huna mikosi ..ikiwa kila sehemu utakayopita kama maofisini na masokoni utapata msaada au chochote kile bila kutumia nguvu basi wewe nguvu chanya yako iko juu, dalili za kutambua nguvu chanya yako iko juu. ( 1) ukiwa kwenye kundi la watu ukaanzisha mada watu huvutiwa kukusikiliza. (2 ) kuna watu ukiwazingua wanaumia sana na kuhisi hawawezi kuishi bila wewe. ( 3) kufika sehemu ambayo hujawahi kuishi na sehemu hiyo watu kukuzoea kwa haraka na kukuamini
 
Na sisi wapiga punyeto je
Wapiga punyeto mmelaanika pia sababu Onani alijamiiana na Mjane (Mke wa Marehemu Kaka yake wa damu) akamwaga gametiume nnje ya uke wa huyo Ke, ilimghadhibisha BWANA.

MWANZO 38:8-10.

Yuda akamwambia Onani, Uingie kwa mke wa nduguyo, ukamwoe, ukamwinulie nduguyo uzao.

Onani alijua ya kwamba huo uzao hautakuwa wake, ikawa, alipoingia kwa mke wa nduguye, akamwagia chini asimpe nduguye uzao.

Neno hili alilolifanya likawa baya machoni pa BWANA, basi akamwua yeye naye.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Tena nyie ndio kabisa maana mnalisha maroho machafu bila kujijua ndio maana baadhi wanashindwa kutoka huko kutokana na manii zao kuwa tamu hivyo hutekwa kabida na kugeuzwa watumwa wa kuzalisha hicho chakula! Kuna manii chungu pia
Hahaha [emoji1787]
"Tena nyie ndio kabisa maana mnalisha maroho machafu bila kujijua"[emoji23][emoji23]
 
Baraka au mikosi ya ngono inategemea unakutana na Nani Kwny ngono?

Kuna wanawake naturally Wana upepo mzuri, ukipiga michongo yako inanyooka.
mfano mzuri:wema sepetu,mamaJ n.k[emoji4]
Hakuna kitu kama hicho, hapo shetani ndiye anayekufanyia maigizo tupu, kumbuka Ibilisi ndiye Mwasisi Mkuu wa uwongo tangu pale bustanini Eden.

Na hayo maigizo alimfanyia sana Musa Nabii wa Mungu kupitia Farao Mfalme wa Misri.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Kasie Mtata A.K.A Toto zuri la kishua toka Tanga City [emoji1]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Thread ya kukata hamu
Kissing The Person You Deeply Truly Want

Kissing the person you deeply, truly want. Man, what a drug. There's nothing else quite like it. Fireworks flash on the backs of your eyelids, and the drums [emoji7][emoji173]
 
Chifu acha kupotosha, hii dhambi itakutafuna hadi kizazi chako cha 3 & 4.

Umesahau kipi kilichompata Mfalme Suleiman aliyekuwa na Ke 300 baada ya kuchepuka na Masuria 700 waliombadilisha akamuasi Mungu na kuabudu miungu hatimaye akajuta na kuona yote ni ubatili mtupu pasipo kumcha Mungu?

Chunguza vizuri matokeo mwisho wa safari huwaje wala si mwenendo wa ngono, utanishukuru.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Tupe mfano hai mkuu
 
Wakati unaandika hii comment ulikuwa katika state gani kifikra? Sijaelewa kitu..au mimi ni kiazi!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…