Ngorongoro: Kuelewa Uamuzi wa serikali

Ni lini mkuu na wapi katıka historia serikali imewahi kuhamisha watu wengi kutoka eneo moja kwenda jingine kwa kuwabembeleza?
 
NISICHOKIJUA NI HIKI: Watu wanahamishwa Loliondo au Ngorongoro? Na kama ni Ngorongoro, Je, wilaya hiyo imefutwa? Nijuze mtaalamu....

Tatizo liko hapo. Kuna DISINFORMATION. Ni kweli kwamba chini ya ibara ya 30 ya sheria ya serikali za mitaa serikali inayo mamlaka ya kisheria ya kufuta mipaka ya tarafa, and kata na vijiji.

Neno kufuta linamaanisha kubadilisha mipaka ama kwa kugawanya eneo moja kuwa maeneo mawili au kuunganisha maeneo mawili kuwa eneo moja.

Lakini hilo neno halina maana kwamba serikali hiyo inayo mamlaka ya kisheria ya kufuta maisha ya wananchi wanaoishi katika maeneo ambayo mipaka yake inabadilishwa.

Hivyo, kukaa kwa kuwa Wakazi wa vijiji hivi walikuwepo kabla ya serikali kuwepo, wao ndio chimbuko la serikali, na serikali haina mamlaka ya kuwafuata.

Kubwa: Muungano wa vijiji, kata na tarafa ndio unaunda nchi.

Kama ni hivyo, tamko la serikali ni batili kisheria na kikatiba na ni aibu tupu!
 
This is very serious allegation, please could you be kindly enough to share the evidence you have concerning with the above?
 
Joseph Ludovick mambo , ni hivi unapoint kiasi chake na huna point zote kiukamilifu , jiulize uongozi wa kwanza hadi wa kikwete hawajawatoa kule mbugani na mfano hai mbona ni wamasai ndio hamuwataki kila mahali.

Zanzibar mnawakataza kuishi kwa amani sijui wanatishia wenzao baharini oh wasitembee na sime mkazozana wee nao hadi ikaisha . Haya sasa mkaendelea na migogoro ya mazao na mifugo mkawaandama hadi mkaona mmetosheka.

Hivi nyie mnapango na wamasai wafee kwa stress au ni wivu kwa maana ni kabila pekee linalo tambulika afrika lenye mvuto kitamaduni , na jinsi wanavyoishi ukiangalia documentaries nyingi wanawasema wao .mmejaribu nyie sijui zanzibar blah blah zero , lazima msemwe nyie waswahili mmejulikana kwasababu ya wamasai. Mmeshapata umaharufu sasa mnawapeleka sehemu hawajazoea sio vizuri ubaguzi mnauendekeza if ni hivyoo basi watoeni na wahadzabe . Sio kuangalia upande mmoja. Mnachosha .


Kingine ili mjue kuwa nyie mna wivu . Mbugani huko kuna kabila 3 wanaishi humo na wanawinda wanyama ndio milo yao japo wengine wanalima mazao.

Kule ukiacha wamasai , kuna Hadzabe mbona hamuwatoi huko mbugani nakuwapeleka handeni . Au kwa maana sio wamasai . Dagota tribe mbona hamuwaoni wanaleta shida na global warming muwatoe huko pia mmewaona tu wamasai mnavisa na wamasai.


Msiwachukie wao niwa tanzania . Na hakuna mtakachowafanya Maana Mungu yupo.
 
Hiyo ndiyo shida yetu. Tunahamisha watu, then zinafanyika biashara za viongozi
 
Ni Mali ya Wananchi sio Tanzania. Serikali inasimamia Ardhi kupitia Rais kwa niaba ya Wananchi. Wamasai nao ni wananchi sio wakimbizi.
peleka huko ngonjera zako mtu hujui Tanzania nini, watu wangapi wameshaondolewa maeneo yao kwa ajili ya miradi ya kitaifa. Waachwe kuharibu ardhi na mifugo yao bila hesabu mbona Morogoro walikula kichapo kwa kuharibu mashamba yao. Ardhi ikigundulika kuna madini na serikali inataka kuchimba unapewa fidia unaondoka kama ulikuwa kihalali ni sheria hizo.
 
Wambie waendelee kukaa ofsini wasifiana mambo yanaharibika kwa wanachi ipo siku mtatoka ofsini kwa maandamano
 
Sidhani kama taratibu na elimu ingetolewa kwa ufasaha hawa watu wangekataa kuhama, ila hapa kuna tatizo la uelewa, kwa mfano wana harakati wengi wanaeneza propaganda kuwa serikali wanataka kuwahamisha wamasai ili ili eneo wauziwe wa Arabu, hizi propaganda zisipoweza kuzuiwa zitaleta picha mbaya kwa serikali ingawa hata hivyo serikali yenyewe watu wamekosa imani nayo kwa vitendo vingi inavyo fanya. Hili eneo kwa ujumla ni Dogo na watu wanaongezeka siku kwa siku ni mawili aidha hifadhi ifutwe au watu waamishwe.. Kufuta hifadhi ni hasara kubwa sana kwa Taifa ila Tanzania bado inamaeneo mengi na mazuri swala la kung'ang'ania eneo moja kisa kwamba ni kwa kuwa ni eneo letu la asili sidhani kama lina tija kwa Taifa. Tatizo kubwa ktk eneo hili ni makundi makubwa yavmifugo ambao inawezekana hata wengine si wenyeji wa huko. Kikubwa serkali itumie taratibu nzuri kuwahamisha hawa wenyeji kama wanazozichukua. Nguvu ilitumika kuwahamisha watu enzi ya ujenzi wa vijiji vya ujamaa hivi sasa ushawishi na elimu ndiyo muhimu ili, yasetokee maafa na vurugu.
 
Wawekezaji lazima wapewe maeneo tupate hela ya Noah kwa kila Mtanzania.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…