Ngorongoro: Radi yajeruhi watu wawili wakitumia simu wakati mvua inanyesha

Ngorongoro: Radi yajeruhi watu wawili wakitumia simu wakati mvua inanyesha

John Haramba

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2022
Posts
365
Reaction score
1,374
Watu wawili wakazi wa Olodonyokeri, Kata ya Ngorongoro Mkoa wa Arusha, wamejeruhiwa na radi wakiwa machungani na kusababisha majeraha sehemu mbalimbali za miili yao.

RPC wa Arusha, ACP Justine Masejo amesema chanzo cha tukio hilo ni matumizi ya simu wakati wa mvua kubwa iliyokuwa ikinyesha.

Waliojeruhiwa ni Sasine Narokababu (25) na Kishuya Teryakiyomi (28), ambapo walikimbizwa katika Zahanant ya kijijini hapo kupatiwa matibabu.

Uchunguzi umebaini kuwa chanzo cha tukio ni matumizi ya simu wakati mzua kubwa ikinyesha huku ikiambatana na radi kali.

PRESS1.jpg
 
Huyo RPC ajiepushe kuandika mambo asiyoyaelewa vizuri. Tangu lini utumiaji wa simu uka-attract radi? Those folks wamepigwa na radi sababu walikuwa kwa wrong place at a wrong time. Wrong place ni hapo walipokuwa kama ni open field bas wao ndo walikuwa warefu kuliko objects za karibu na pia wrong time nikimaanisha mida hiyo radi inachapa
 
kwa kweli vitendo vya kujeruhiana havikubaliki katika jamii kwa hio waliosababisha tukio hilo wachukuliwe hatua kali za k'sheria ili iwe funzo kwa wengine
 
Watu wawili wakazi wa Olodonyokeri, Kata ya Ngorongoro Mkoa wa Arusha, wamejeruhiwa na radi wakiwa machungani na kusababisha majeraha sehemu mbalimbali za miili yao.

RPC wa Arusha, ACP Justine Masejo amesema chanzo cha tukio hilo ni matumizi ya simu wakati wa mvua kubwa iliyokuwa ikinyesha.

Waliojeruhiwa ni Sasine Narokababu (25) na Kishuya Teryakiyomi (28), ambapo walikimbizwa katika Zahanant ya kijijini hapo kupatiwa matibabu.

Uchunguzi umebaini kuwa chanzo cha tukio ni matumizi ya simu wakati mzua kubwa ikinyesha huku ikiambatana na radi kali.
Hapa arapisii alinogewa kiasi cha kuamua kutoa ripoti ya kitabibu😆
 
Mvua nzito kupita wastani wa kawaida na mafuriko yanatarajiwa maeneo mengi miezi ya March - April - May 2022 Afrika Mashariki . Hivyo kwa kuangalia ramani hapo chini tahadhari kubwa inatakiwa kuchukuliwa na wananchi pamoja na mamlaka husika :


The Icpac update shows most of Kenya could receive above normal rainfall.
WEATHER: The Icpac update shows most of Kenya could receive above normal rainfall.
Image: ICPAC
Heavy rains could fall over much of Kenya between March and May, a regional weather centre has announced.
The Nairobi-based IGAD’S Climate Prediction and Applications Centre said most of Kenya is likely to receive above-normal rains, except the eastern strip along the Somalia border where rains will be normal
 
inawezakana kwa asilimia kubwa kwa sababu simu inatumia mawimbi umeme katika mawasiliano.

tabia ya radi ni kutokana na kujaaa umeme asili na kuitaji kubalance pale utakapo ona kuna sehemu pa kuweka au kutolea inaitwa static charge.

tabia inaweza kuwa mawingu kwa mawingu,mawingi kwa ardhi.
tunapo zungumzia sehemu hizo mbili ndio tunapata ngurumo kutokana na mfumo wa uasafirishaji kifizikia na nyengine kuona mwanga kutokana na uwezo electron zinavo react kwenye msuguano.

Radi inatokana kwa sababu ya umeme asili (static charge) ambayo hipo dunia nzima kuanzia kila kitu kitu kilichomo sema hakuna mazala kama itakuwa umetaka kuchokoza .

*mawingu kwa mawingu hii ni aina ya radi ambayo usafirisha umeme asili pale wingi moja kama alina balance electron ya umeme asili.

*mawingu na ardhi hii inatokana na pale mawingu kuwa na umeme asili mwingi na kutafuta pa kupunguzia charge hizo na chazo hiki utafuta sehemu ambapo kuna weza kuwa na visababishi vya mkondo wa umeme mfano urefu kama miti,mtu au vitu vinavopitisha umeme.
 
Huyo RPC ajiepushe kuandika mambo asiyoyaelewa vizuri. Tangu lini utumiaji wa simu uka-attract radi? Those folks wamepigwa na radi sababu walikuwa kwa wrong place at a wrong time. Wrong place ni hapo walipokuwa kama ni open field bas wao ndo walikuwa warefu kuliko objects za karibu na pia wrong time nikimaanisha mida hiyo radi inachapa
Yaani RPC anasema kabisa chanzo ni simu dah.
 
Back
Top Bottom