Super coach Julio yupo vizuri na technical director Mirambo wa TFF wamejitahidi, tujiulize vipaji kwanini haviibuki ktk ngazi ya klabu zetu na tunakodisha toka mataifa mengine ?Lakini tuseme ukweli timu ya Ngorongoro heroes haina kocha.
Karibu tunarudi tena uwanjani hapa Mauritania kipindi cha pili lala salama cha ngwe ya mwisho ya dakika 45 kati ya Tanzanie na Maroc.