NGO'S na upatikanaji wake wakazi

NGO'S na upatikanaji wake wakazi

Connection ndio kila kitu mkuu, nakumbuka kipindi Mkwere ndio anamalizia awamu ya pili kuna shirika moja wapo juu nilipiga nao Interview hadi kwenye Oral ikaishia hapo.

Baada kama ya kama mwaka hivi nikapata Connection ya shirika lingine toka juu hapo hapo, hiyo sikufanya hata interview nikaambiwa tu nika report ofisini kwao hapa Dar, nilivoenda kuna maelezo nikapewa then kuna vitu nikakabidhiwa then nikaambiwa Jumapili safari nikareport kwenye kituo changu cha kazi.

Mradi wa kwanza ukaja kuisha nikarudi town, ukaja mradi wa pili nao nikapigiwa simu tu na jamaa alonipa hiyo connection, safari hii nikapelekwa mkoa mwingine kabisa huo mradi ukaisha ndio nikarudi town.

Nakubaliana na wewe kazi nyingi za NGO ni mwendo wa connection tu mkuu.
Duh ,so bila connection hupati nafasi🤔
 
Kwenye connection zipo ila pia bila connection unapata, mimi baada ya kumaliza muhas na internship niliapply bila connection wala experience nikapata jhpiego then from there nikafanya kama mashirika matatu miradi tofauti.

Uzuri ukishaingia katika cycle ya NGO’s nirahisi kupata kazi maana mnakuwa mnajuana coz mnarotate umoumo mara nyingi hasa medical personnel.
 
Mambo (maisha kwa ujumla) yamekuwa ya hovyo sana!

Hakuna anaekujua ndo mana unapotezewa. Wao wenyewe wanajua ukiula kupata ajira kwenye NGO's mambo lazima yawe matamu kama kisheti hivyo wahusika hawaoni hasara kuwapiga mkasi vijana walalahoi wasiojulikana (wasio na Connection) na kupachika wakwao wao wanaowahitaji wao ili wapate hizo nafasi waendelee kula keki ya taifa peke yao. Asikudanganye mtu kamanda... GPA kali!..., experience ya kutosha, vidato vingi, n.k sio issue 😊.... kwenye hizo NGO's, bandarini, T.R.A na taasisi nyeti zingine nyingi tu kuna watu wapo na wana GPA za "2.0" na form-four failures kibao!


Tunapoelekea ni pabaya sana! 🙂🙂🙂
 
Nimefanya kazi shirika.

Nasubiri mradi pia katika shirika.

Muda wote niljokuwa katika shirika nimejifunza connection ni kitu kikubwa sana.

Pia shirika halipendi kufanya kazi na mtu asiyemzoefu na kazi.

Mara nyingi hata wakitangaza ajira wanakuwa na watu wao.

Kwenye shirika langu hata leo ikitangazwa ajira mimi nampgia Dr naitwa kazini na wala sio kwa interview
Mkuu, mtusaidie na wadogo zenu basi,hali ngumu, nina bachelor ya HR na driving license
 
Mambo (maisha kwa ujumla) yamekuwa ya hovyo sana!

Hakuna anaekujua ndo mana unapotezewa. Wao wenyewe wanajua ukiula kupata ajira kwenye NGO's mambo lazima yawe matamu kama kisheti hivyo wahusika hawaoni hasara kuwapiga mkasi vijana walalahoi wasiojulikana (wasio na Connection) na kupachika wakwao wao wanaowahitaji wao ili wapate hizo nafasi waendelee kula keki ya taifa peke yao. Asikudanganye mtu kamanda... GPA kali!..., experience ya kutosha, vidato vingi, n.k sio issue [emoji4].... kwenye hizo NGO's, bandarini, T.R.A na taasisi nyeti zingine nyingi tu kuna watu wapo na wana GPA za "2.0" na form-four failures kibao!


Tunapoelekea ni pabaya sana! [emoji846][emoji846][emoji846]
Tafuta connection usisimbue jamii...gpa kuwa ndogo haimaanishi hawez kuhudumia watu.
 
Mambo (maisha kwa ujumla) yamekuwa ya hovyo sana!

Hakuna anaekujua ndo mana unapotezewa. Wao wenyewe wanajua ukiula kupata ajira kwenye NGO's mambo lazima yawe matamu kama kisheti hivyo wahusika hawaoni hasara kuwapiga mkasi vijana walalahoi wasiojulikana (wasio na Connection) na kupachika wakwao wao wanaowahitaji wao ili wapate hizo nafasi waendelee kula keki ya taifa peke yao. Asikudanganye mtu kamanda... GPA kali!..., experience ya kutosha, vidato vingi, n.k sio issue [emoji4].... kwenye hizo NGO's, bandarini, T.R.A na taasisi nyeti zingine nyingi tu kuna watu wapo na wana GPA za "2.0" na form-four failures kibao!


Tunapoelekea ni pabaya sana! [emoji846][emoji846][emoji846]
Bandarini nakataa now kuingia bila sifa sio rahisi
 
Haya mashirika mengi yao ndani kumejaa kujuana, urafiki, ukabila, na ukanda.

Ukifahamiana na HR, Country Director or hata Coordinator tayari umeula.

Ukitaka kuingia kwa mlango wa kawaida aise ni mambo mawili.

Uwe na Experience ya hali ya juu.
Na pili uwe na uwezo mkubwa.

Ila fresh from school kutoboa bila connection ni ngumu sana.

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom