Mgeni wa Jiji
JF-Expert Member
- Jul 27, 2017
- 9,758
- 18,431
Hold on Mkuu, hivi nimekuona kwenye uzi fulani ume jiajiri unaingiza 1m au nimekufananisha?Nimefanya kazi shirika.
Nasubiri mradi pia katika shirika.
Muda wote niljokuwa katika shirika nimejifunza connection ni kitu kikubwa sana.
Pia shirika halipendi kufanya kazi na mtu asiyemzoefu na kazi.
Mara nyingi hata wakitangaza ajira wanakuwa na watu wao.
Kwenye shirika langu hata leo ikitangazwa ajira mimi nampgia Dr naitwa kazini na wala sio kwa interview
Shida ni unaingia vipi hapo kwao ili wakupe nafasi hata ukitoleeNGOs zote ambazo DONOR ni mmoja, lets say USAID Mara nyingi nafasi za kazi huwa wanatangaziana NDANI ya taasisi Kwanza.
Wakikosa mtu ndio wanatangaziana NJE.
PILI, NGOs siku hizi HAZILIPI vizuri, UHUNI mwingi labda uwe nafasi za JUU.
Kuna ukweli fulani...mara nyingi "kamlete approach" na head hunting ndio hutumika. Pia wengi wao huwa wana God fathers above...kuna mfano wa shirika fulani limejaa mashemeji..ndugu wa viongozi wa juu plus dotted lines. Ila nafasi chache ndio hua zinaachwa mpiganie waombaji wa njeShida ni unaingia vipi hapo kwao ili wakupe nafasi hata ukitolee
Wvt iliwahi kuleta shida kila mtu ana ndugu yake nafasi zikawa za kugombania. Ndo wakapeleka taesaNilienda ofisini kwao World Vision kwa ajiri ya Internship wakasema wanachukua kupitia taesa 😪😪
Basi tupe connection mkuu okoa kizazi Mungu atakubarikiConnection ndio kila kitu mkuu, nakumbuka kipindi Mkwere ndio anamalizia awamu ya pili kuna shirika moja wapo juu nilipiga nao Interview hadi kwenye Oral ikaishia hapo.
Baada ya kama mwaka hivi nikapata Connection ya shirika lingine toka juu hapo hapo, hiyo sikufanya hata interview nikaambiwa tu nika report ofisini kwao hapa Dar, nilivoenda kuna maelezo nikapewa then kuna vitu nikakabidhiwa then nikaambiwa Jumapili safari nikareport kwenye kituo changu cha kazi.
Mradi wa kwanza ukaja kuisha nikarudi town, ukaja mradi wa pili nao nikapigiwa simu tu na jamaa alonipa hiyo connection, safari hii nikapelekwa mkoa mwingine kabisa huo mradi ukaisha ndio nikarudi town.
Nakubaliana na wewe kazi nyingi za NGO ni mwendo wa connection tu mkuu.
Mimi pia kila Leo naingia kwenye website zao, nimeapply sana lakini 3 bilaAisee maana nimeshawahi kuapply sana tu ila sijawahi kufaninikiwa
Sijui ndiyo hadi connection, inaboaMimi pia kila Leo naingia kwenye website zao, nimeapply sana lakini 3 bila
Naimani tutapata ni swala la mda tu Mungu yupoSijui ndiyo hadi connection, inaboa
Mkuu naona watu wengi wananifuata PM niwape connection. Ila naomba muelewe kuwa ipo hivi yule jamaa alienipaga connection mimi yupo nje ya nchi kama miaka mitatu sasa.Basi tupe connection mkuu okoa kizazi Mungu atakubariki