NGO'S na upatikanaji wake wakazi

Hold on Mkuu, hivi nimekuona kwenye uzi fulani ume jiajiri unaingiza 1m au nimekufananisha?
 
NGOs zote ambazo DONOR ni mmoja, lets say USAID Mara nyingi nafasi za kazi huwa wanatangaziana NDANI ya taasisi Kwanza.

Wakikosa mtu ndio wanatangaziana NJE.

PILI, NGOs siku hizi HAZILIPI vizuri, UHUNI mwingi labda uwe nafasi za JUU.
Shida ni unaingia vipi hapo kwao ili wakupe nafasi hata ukitolee
 
Shida ni unaingia vipi hapo kwao ili wakupe nafasi hata ukitolee
Kuna ukweli fulani...mara nyingi "kamlete approach" na head hunting ndio hutumika. Pia wengi wao huwa wana God fathers above...kuna mfano wa shirika fulani limejaa mashemeji..ndugu wa viongozi wa juu plus dotted lines. Ila nafasi chache ndio hua zinaachwa mpiganie waombaji wa nje
 
Basi tupe connection mkuu okoa kizazi Mungu atakubariki
 
Basi tupe connection mkuu okoa kizazi Mungu atakubariki
Mkuu naona watu wengi wananifuata PM niwape connection. Ila naomba muelewe kuwa ipo hivi yule jamaa alienipaga connection mimi yupo nje ya nchi kama miaka mitatu sasa.

Mimi baada ya kuitwa kipindi kile nilitumikia mkataba wangu mikoa kadhaa, mkataba ulivyoisha sikuongeza nikaanza mishe zangu binafsi, so watu ninaofahamiana nao ni wa level ya chini huku mkoani huko so hawana impact yoyote maana recruitment inafanyikia HQ na sio mikoani.

Nadhani nimeeleweka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…