Ngozi kufubaa na kuwa kavu. Ni mafuta gani mazuri ya kupaka sehemu za baridi?

Ngozi kufubaa na kuwa kavu. Ni mafuta gani mazuri ya kupaka sehemu za baridi?

Ni mafuta gani ya mgando unayotumia?
Kama Ni baby care , rays na yanayofanana na hayo hayatakusaidia,
Ukiwa sehemu au kwenye nyakati za baridi na hewa kavu kama nyanda za huko ni vizuri kutumia vipako vizito ambavyo vitakuletea joto pamoja na kutunza unyevu nyevu wa ngozi yako usipotee na kusababisha kukakamaa na kubabuka kwa ngozi.


Tumia vaseline na glycerin tena upake ukishatoka kuoga/kunawa kabla mwili haujakauka ili yashikane vizuri na ngozi, vitakusaidia kukinga kwa kiasi kikubwa dhidi ya uharibifu wa ngozi yako.
Asante kwa ushauri mkuu.
 
Baridi ya Iringa, Njombe na Mbeya inababua ngozi kwa sababu ya ukavu wake, humidity iko chini sana huwezi linganisha na mikoa mingine yenye baridi ambayo humidity yake iko juu.

Tafuta mafuta yenye cocoa butter paka au shea butter. Vinginevyo ni mwendo wa kupauka na ngozi kupoteza mvuto(kufubaa).
 
Baridi ya Iringa, Njombe na Mbeya inababua ngozi kwa sababu ya ukavu wake, humidity iko chini sana huwezi linganisha na mikoa mingine yenye baridi ambayo humidity yake iko juu.

Tafuta mafuta yenye cocoa butter paka au shea butter. Vinginevyo ni mwendo wa kupauka na ngozi kupoteza mvuto(kufubaa).
Inakuwaje shinyanga kuna joto kali lakini ngozi inapauka sana?
 
Baridi ya Iringa, Njombe na Mbeya inababua ngozi kwa sababu ya ukavu wake, humidity iko chini sana huwezi linganisha na mikoa mingine yenye baridi ambayo humidity yake iko juu.

Tafuta mafuta yenye cocoa butter paka au shea butter. Vinginevyo ni mwendo wa kupauka na ngozi kupoteza mvuto(kufubaa).
Asante mkuu, tupo pamoja!
 
Niliwahi kusikia mafuta ya nazi ndiyo mazuri zaidi. Niliwahi kupita Njombe kikazi nikakaa pale wiki kilikuwa kipindi cha baridi nilipapenda sana.
Salutations kwenu!

Nipo Iringa wakuu baridi ni kali sana. Tangu nifike nimeona ngozi yangu ikiharibika sana sana.

Hapo kabla ya kuja Iringa, nilikuwa naishi Pwani. Nilikuwa sipaki mafuta na ngozi ilikuwa nzuri tu. Sasa baada ya kuja Iringa na kutokana na baridi nimekuwa napaka mafuta ya mgando ili kufanya ngozi isiwe kavu lakini bado haisaidii.

Naweza kupaka mafuta lakini baada ya nusu saa yale mafuta yanakauka na ngozi kuwa kavu kama mwanzo.

Je, ni mafuta au kitu gani kizuri cha kupaka au kutumia ili kuifanya ngozi iwe nzuri?

Rangi;- Maji ya kunde.
Jinsia;- ME
 
Tafuta mafuta ya mgando ya Nivea pure ukikosa basi chukua mngando vasseline nyeupe. Hayo mafuta ni mazuri sana kwa ngozi na hayana chemicals nyingi.
 
Tafuta mafuta ya mgando ya Nivea pure ukikosa basi chukua mngando vasseline nyeupe. Hayo mafuta ni mazuri sana kwa ngozi na hayana chemicals nyingi.
Tafuta mafuta ya mgando ya Nivea pure ukikosa basi chukua mngando vasseline nyeupe. Hayo mafuta ni mazuri sana kwa ngozi na hayana chemicals nyingi.
Asante sana mkuu
 
Nunua glycerin changanya kwenye lotion yako, nunua Vaseline pia paka kwa juu baada ya kupaka lotion yako yenye mchanganyiko wa glycerin, baada ya wiki njoo nishukuru.

Karibu Iringa, Karibu Frelimo
 
Nunua glycerin changanya kwenye lotion yako, nunua Vaseline pia paka kwa juu baada ya kupaka lotion yako yenye mchanganyiko wa glycerin, baada ya wiki njoo nishukuru.

Karibu Iringa, Karibu Frelimo
Pamoja sana mkuu, nitafuata huu ushauri wako mwenyeji wangu 😛 😛 😛! Lotion ipi pia itafaa mkuu?

Upo Frelimo sehemu gani? Nipo mtaa huo pia mkuu.
 
Back
Top Bottom