Gemini Are Forever
JF-Expert Member
- Sep 10, 2019
- 1,508
- 2,619
- Thread starter
- #41
Sijawahi kuona comment yako iliyokosa neno "MUONGOZO"Weka picha members wakupe muongozo...
BTW, nina simu ya java siwezi kuapulodi picha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijawahi kuona comment yako iliyokosa neno "MUONGOZO"Weka picha members wakupe muongozo...
Salutations kwenu!
Nipo Iringa wakuu baridi ni kali sana. Tangu nifike nimeona ngozi yangu ikiharibika sana sana.
Hapo kabla ya kuja Iringa, nilikuwa naishi Pwani. Nilikuwa sipaki mafuta na ngozi ilikuwa nzuri tu. Sasa baada ya kuja Iringa na kutokana na baridi nimekuwa napaka mafuta ya mgando ili kufanya ngozi isiwe kavu lakini bado haisaidii.
Naweza kupaka mafuta lakini baada ya nusu saa yale mafuta yanakauka na ngozi kuwa kavu kama mwanzo.
Je, ni mafuta au kitu gani kizuri cha kupaka au kutumia ili kuifanya ngozi iwe nzuri?
Rangi;- Maji ya kunde.
Jinsia;- ME
Bora vyote viwepo mkuu, lakini isiwe tu vumbi/udongo mwekundu. Nahisi nina phobia nayo!Kuna mikoa ukikaa unachakaa kama tako la nyani sema kwa sisi watafutaji tunajikuta tunatulia sehemu yeyote kwa mazingira yeyote ila Dodoma na Singida kuna baridi na vumbi la kutosha yaani utatoka ukurutu kama wote
Shukuran mkuu! I think ngozi yangu ni ya mafuta coz huwa nikipaka mafuta usoni huwa natokwa na chunusi, ila nikiacha kupaka chunusi hupotea.Ili upate mafuta mazuri inabid kwanza ujue ngozi yako je niya mafuta au kavu? Sasa kwakua wewe ni mwanaume najua hili zoez ni gumu kwako cha kufanya tengeneza mwenyewe nyumban mafuta ya karoti halaf yachanganye na grisil ngozi yako utaipenda sana na bila shaka yatakua ndiyo mafuta yako! (Jinsi ya kutengeneza mafuta ya karoti ingia youtube siyo kazi ngumu kabisa ni kitendo cha dakika kumi tu utakua ushapata mafuta yatakayokupa furaha!
Shukuran mkuu! I think ngozi yangu ni ya mafuta coz huwa nikipaka mafuta usoni huwa natokwa na chunusi, ila nikiacha kupaka chunusi hupotea.
Vipi kuhusu Grisil? Umemaanisha Grisi ama..? Sijakupata hapo!
😀😀 Ndio mkuu nlidhan wamaanisha glycerinYes ni grisi hii ya kulainisha vyuma [emoji28][emoji28][emoji28]sijui kama alikuwa anamaanisha grasiline
Thanks mkuu barikiwa 📌📌📌Nimenunua can cocoa butter kwa kweli sijutii kwa smoothie hayakung’alishi kama sana sato....
Ngozi yako ni aina gani??Salutations kwenu!
Nipo Iringa wakuu baridi ni kali sana. Tangu nifike nimeona ngozi yangu ikiharibika sana sana.
Hapo kabla ya kuja Iringa, nilikuwa naishi Pwani. Nilikuwa sipaki mafuta na ngozi ilikuwa nzuri tu. Sasa baada ya kuja Iringa na kutokana na baridi nimekuwa napaka mafuta ya mgando ili kufanya ngozi isiwe kavu lakini bado haisaidii.
Naweza kupaka mafuta lakini baada ya nusu saa yale mafuta yanakauka na ngozi kuwa kavu kama mwanzo.
Je, ni mafuta au kitu gani kizuri cha kupaka au kutumia ili kuifanya ngozi iwe nzuri?
Rangi;- Maji ya kunde.
Jinsia;- ME
Na ile harufu yake itakuwaje?Tafuta mafuta ya mnyonyo. The best
I think ni ya mafuta mkuu.Ngozi yako ni aina gani??
Jitahidi ununue Vitamin E all over body cream naamini haitakuangusha, itaipa ngozi yako moisture kwa masaa 24I think ni ya mafuta mkuu.
Asante sana mkuu.Jitahidi ununue Vitamin E all over body cream naamini haitakuangusha, itaipa ngozi yako moisture kwa masaa 24
Nimekuwa nikiitumia kila nnapokuwa kwenye baridi kali, na matokeo yake ni mazuri sana
Mbeya Mbona joto ungeenda Makete je,si ungeganda?.Nilienda Mbeya Jumatatu nikakaa siku nne tu ila uso wangu umeanza kubanduka maganda..
Baridi ya huko siyo poa aiseeh
Tuachie sisi wenye nakoLast time nimeenda Iringa 2017..nilikaa wiki moja tu ila hadi narudi tayari ngozi ilianza kubabuka kama imeungua...kiufupi mikoa kama Iringa, mbeya, njome na mingine yote yenye baridi sipendi kuishi.
Huwa mnafanyaje mkuu, ngozi zenu kutobabuka?Tuachie sisi wenye nako
Ngozi zetu zimeisha adapt hali ya huko,si unajua mambo ya Genetics and Environment.Huwa mnafanyaje mkuu, ngozi zenu kutobabuka?
Kwa hiyo nasi tutaadapt siyo?Ngozi zetu zimeisha adapt hali ya huko,si unajua mambo ya Genetics and Environment.