Ngozi kufubaa na kuwa kavu. Ni mafuta gani mazuri ya kupaka sehemu za baridi?

Asante kwa ushauri mkuu.
 
Baridi ya Iringa, Njombe na Mbeya inababua ngozi kwa sababu ya ukavu wake, humidity iko chini sana huwezi linganisha na mikoa mingine yenye baridi ambayo humidity yake iko juu.

Tafuta mafuta yenye cocoa butter paka au shea butter. Vinginevyo ni mwendo wa kupauka na ngozi kupoteza mvuto(kufubaa).
 
Inakuwaje shinyanga kuna joto kali lakini ngozi inapauka sana?
 
Asante mkuu, tupo pamoja!
 
Niliwahi kusikia mafuta ya nazi ndiyo mazuri zaidi. Niliwahi kupita Njombe kikazi nikakaa pale wiki kilikuwa kipindi cha baridi nilipapenda sana.
 
Tafuta mafuta ya mgando ya Nivea pure ukikosa basi chukua mngando vasseline nyeupe. Hayo mafuta ni mazuri sana kwa ngozi na hayana chemicals nyingi.
 
Tafuta mafuta ya mgando ya Nivea pure ukikosa basi chukua mngando vasseline nyeupe. Hayo mafuta ni mazuri sana kwa ngozi na hayana chemicals nyingi.
Tafuta mafuta ya mgando ya Nivea pure ukikosa basi chukua mngando vasseline nyeupe. Hayo mafuta ni mazuri sana kwa ngozi na hayana chemicals nyingi.
Asante sana mkuu
 
Nunua glycerin changanya kwenye lotion yako, nunua Vaseline pia paka kwa juu baada ya kupaka lotion yako yenye mchanganyiko wa glycerin, baada ya wiki njoo nishukuru.

Karibu Iringa, Karibu Frelimo
 
Nunua glycerin changanya kwenye lotion yako, nunua Vaseline pia paka kwa juu baada ya kupaka lotion yako yenye mchanganyiko wa glycerin, baada ya wiki njoo nishukuru.

Karibu Iringa, Karibu Frelimo
Pamoja sana mkuu, nitafuata huu ushauri wako mwenyeji wangu πŸ˜› πŸ˜› πŸ˜›! Lotion ipi pia itafaa mkuu?

Upo Frelimo sehemu gani? Nipo mtaa huo pia mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…