Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
Ndio mkija huku mkaishi kwa miaka kadhaa mtaadapt.Japo lazima Cha moto mkipate.Huwezi amini ukienda Makete wakati wa baridi kali,linalosoma negative unaweza kuona jamaa wapo vifua wazi wakipiga Kazi za mikono km vile kufyetua tofali,kupasua mbao,kulima,n.k.Kwa hiyo nasi tutaadapt siyo?
Je, nanyi mwanzo mlikuwa kama sisi?
Hakika mkuu.Ndio mkija huku mkaishi kwa miaka kadhaa mtaadapt.Japo lazima Cha moto mkipate.Huwezi amini ukienda Makete wakati wa baridi kali,linalosoma negative unaweza kuona jamaa wapo vifua wazi wakipiga Kazi za mikono km vile kufyetua tofali,kupasua mbao,kulima,n.k.
Karibu sana Mkuu, taratibu utazoea.Hakika mkuu.
Naona wenyeji wakifanya hivyo fresh tu wakati mm natetemeka Hadi maini pamoja na kuvaa makotikoti.
🙏🙏Karibu sana Mkuu, taratibu utazoea.
Uzuri wa Jf kila kitu watu wamepitia na wanakijua ,,hata kama wengi siyo wakweli ila watakupa majibu ,,.Hakuna kinacho shindikana Jf...nipo Njombe kwa sasa baridi ni kali kuliko la Iringa ila tumia Vasserine ...Salutations kwenu!
Nipo Iringa wakuu baridi ni kali sana. Tangu nifike nimeona ngozi yangu ikiharibika sana sana.
Hapo kabla ya kuja Iringa, nilikuwa naishi Pwani. Nilikuwa sipaki mafuta na ngozi ilikuwa nzuri tu. Sasa baada ya kuja Iringa na kutokana na baridi nimekuwa napaka mafuta ya mgando ili kufanya ngozi isiwe kavu lakini bado haisaidii.
Naweza kupaka mafuta lakini baada ya nusu saa yale mafuta yanakauka na ngozi kuwa kavu kama mwanzo.
Je, ni mafuta au kitu gani kizuri cha kupaka au kutumia ili kuifanya ngozi iwe nzuri?
Rangi;- Maji ya kunde.
Jinsia;- ME
Pamoja sana mkuu.Uzuri wa Jf kila kitu watu wamepitia na wanakijua ,,hata kama wengi siyo wakweli ila watakupa majibu ,,.Hakuna kinacho shindikana Jf...nipo Njombe kwa sasa baridi ni kali kuliko la Iringa ila tumia Vasserine ...
🙏 mnapatikana wapi?Tunatengeneza mafuta mgando ya karafuu kwa ajili ya wavuvi na watu waishio maeneo ya baridi. piga 0713039875 kwa oda.
Nakumbuka ulisema wewe ni darasa la sabaBora vyote viwepo mkuu, lakini isiwe tu vumbi/udongo mwekundu. Nahisi nina phobia nayo!
Tumia Sabuni na Mafuta ya Mawese.... Products za Palmol Cosmetics. Ni nzuri Sana. Huyu Dada anafanya vizuri Sana. Instagram yupo @palmol_cosmeticsSalutations kwenu!
Nipo Iringa wakuu baridi ni kali sana. Tangu nifike nimeona ngozi yangu ikiharibika sana sana.
Hapo kabla ya kuja Iringa, nilikuwa naishi Pwani. Nilikuwa sipaki mafuta na ngozi ilikuwa nzuri tu. Sasa baada ya kuja Iringa na kutokana na baridi nimekuwa napaka mafuta ya mgando ili kufanya ngozi isiwe kavu lakini bado haisaidii.
Naweza kupaka mafuta lakini baada ya nusu saa yale mafuta yanakauka na ngozi kuwa kavu kama mwanzo.
Je, ni mafuta au kitu gani kizuri cha kupaka au kutumia ili kuifanya ngozi iwe nzuri?
Rangi;- Maji ya kunde.
Jinsia;- ME
Ndio mm darasa la saba, kwani shida iko wapi?Nakumbuka ulisema wewe ni darasa la saba
Ila mwandiko wako unakusaliti sana
Thanks mkuu, pamoja!Tumia Sabuni na Mafuta ya Mawese.... Products za Palmol Cosmetics. Ni nzuri Sana. Huyu Dada anafanya vizuri Sana. Instagram yupo @palmol_cosmetics