Ngozi nyeusi akishapata pesa kinachofatia ni kutesa wenzake kwa zamu

Ngozi nyeusi akishapata pesa kinachofatia ni kutesa wenzake kwa zamu

Eli Cohen

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
4,460
Reaction score
13,715
Screenshot_20231018_122059_Instagram.jpg
 
Ako na pesa sana jamaa
Vihela vya kawaida tu sema ushamba ndio unamsumbua mwingine yule anaweka mbao na kusimanga wenzake ,mwenye hela hanaga muda wa kuhangaika na masimango maana unakuwa umezoea , sawa sawa na mtu anayepiga picha chakula cha hotelini ni kwamba hajazoea ndio maana anajaribu kuonyesha
 
Back
Top Bottom