Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Atoe si alitangazia umma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
atakua anakimbizwa na mbwa huku anachezea keyboardWe nae simu ina kleki kwenye screen au una kikohozi mbona unaandika kwa vidoti vidoti
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Vihela vya kawaida tu sema ushamba ndio unamsumbua mwingine yule anaweka mbao na kusimanga wenzake ,mwenye hela hanaga muda wa kuhangaika na masimango maana unakuwa umezoea , sawa sawa na mtu anayepiga picha chakula cha hotelini ni kwamba hajazoea ndio maana anajaribu kuonyesha
Shem km shem ushahamia ukingani 😂😂😂tatizo lingine la waafrika wengi,
ukishindwa kuelewa kitu unasingizia uchawi......
haikushangazi? afrika siri ya utajiri inajulikana lakini ndo inaongoza kwa ufukara
😂😂😂😂 kumekuchaWe nae simu ina kleki kwenye screen au una kikohozi mbona unaandika kwa vidoti vidoti
hakuna mungu, hakuna uchawiShem km shem ushahamia ukingani 😂😂😂
Hutaki kuona wakinga wanasemwa kabisaa
Waambie km pesa za kichawi ni rahisi nao washinde vilingeni wawe nazo tuwaone
Mpagani ktk ubora wako 😂😂😂hakuna mungu, hakuna uchawi
tatizo watu ni wabishi sana, bahati itaitwa kudra za mungu, itaitwa uchawi
Dokitari wa MloganzilaNdio nani huyo huko Daslam?
Upagani ni nini?Mpagani ktk ubora wako [emoji23][emoji23][emoji23]
Ila ukiwa wewe Ni mjanja ,umehaso,umeoambana Ila mwenzako kafara.hii Ni asili ya ubongo sio kuwa shida Ni yangu ama yako Bali mie nikifanikisha Jambo mie Ni mjanja,nilipambana,nilianzia chini hata Elon musk alilala stendi siku tatu,walipanga chumba kimoja wakilala kwenye Kochi na bro wake,wakioga YMCA Ila Sasa wewe ukitoboa Mara umepata bahati,ngekewa ,umeshikwa mkono,makafara, uchawi umetumika. Yaani ubongo wangu hautaki kukubali na mwenzangu anaweza akatoka zero na akatoboa Kama mie Bali mie mwenyewe ndiye ninayejiona mjanja Bali wengine hawafai ama hawawezi kwa nguvu hizo hizo nilizo nazo wakatoboa na wakafika juu kileleni. Huwa nafurahia mno ubongo wa binadamu unavyochakata data kutoa information.
Huyu mkinga ni mshamba sana. Ela zenyewe za uchawi na makafara
Ww unazo hta hizo za uchawi😂😂
Huyu mkinga ni mshamba sana. Ela zenyewe za uchawi na makafara
Siri ya utajiri africa ni hipi mkuu ebu tupe hiyo siri?tatizo lingine la waafrika wengi,
ukishindwa kuelewa kitu unasingizia uchawi......
haikushangazi? afrika siri ya utajiri inajulikana lakini ndo inaongoza kwa ufukara