Ngozi Okonjo-Iweala, aliemgaragaza Amina Mohammed, aukwaa Ukurugenzi Ukuu WTO

Ngozi Okonjo-Iweala, aliemgaragaza Amina Mohammed, aukwaa Ukurugenzi Ukuu WTO

Attachments

  • Screenshot_20201009-190337_Free Video Downloader.jpg
    Screenshot_20201009-190337_Free Video Downloader.jpg
    80.6 KB · Views: 2
Wakenya watakuja hapa kulaumu Tanzania kwa Amina wao kushindwa
Kama huyo Amina analeta unga kwangu, ningewalaumu. Lakini juu hakuna usaidizi ananipea, siwezi laumu yeyote mimi Kama mkenya.
 

Your advice is seconded, but please kindly advise the president, his Excellency Dr. Magufuli to attend English classes to be able to communicate diligently and plausibly in this language.
 
Your advice is seconded, but please kindly advise the president, his Excellency Dr. Magufuli to attend English classes to be able to communicate diligently and plausibly in this language.

As the President of the United Republic of Tanzania, he can afford a translator as a matter of fact i encourage him to deploy Kiswahili in all his state's obligations!
 
Your advice is seconded, but please kindly advise the president, his Excellency Dr. Magufuli to attend English classes to be able to communicate diligently and plausibly in this language.
Ninyi mnaothamini kiingereza bado mnashindwa kila nafasi kubwa mnazoomba, mnalazimisha dunia iwakubali wakati hamkubaliki.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Hongera sana, ni heshima kwa wAfrika pia ni heshima kwa wanawake.
 
Alyemgaragaza Amina Mohammed aukwaa ukurugenzi WTO!



Hii ni habari njema Geza, hata kwa Wakenya. Najua unangojea Wakenya wakasirike ila hii ni habari njema kwa Waafrika wote. Hapa hakuna battle. Hongera kwake. Nimefurahi kama mwafrika.
 
Your advice is seconded, but please kindly advise the president, his Excellency Dr. Magufuli to attend English classes to be able to communicate diligently and plausibly in this language.
Hehe rais wenu eti ana Phd ya chemistry na huku kizungu kinamshinda. Maskini wa Mungu. Huwa anatia huruma akijaribu kuzungumza kwa kizungu.
 
Hahahaha, hahahaha, Tony254, Tony254, Tony254 [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Wewe jifunze kumention mtu kirasmi kwa kuweka @ mbele ya jina la mtu. Jina lake likiwa na rangi ya samawati ndio unajua kuwa amepata habari. Vipi umeposti message zaidi ya elfu kumi na saba na bado hujaelewa jinsi ya kumention mtu? Joto wacha kuniangusha.
 
Sasa hivi WTO na WHO zinaongozwa na Waafrika.
 
Wewe jifunze kumention mtu kirasmi kwa kuweka @ mbele ya jina la mtu. Jina lake likiwa na rangi ya samawati ndio unajua kuwa amepata habari. Vipi umeposti message zaidi ya elfu kumi na saba na bado hujaelewa jinsi ya kumention mtu? Joto wacha kuniangusha.
Kweli katika hilo ninakubali, huo utaalamu nilikua siujui Tony254@, asante kwa kunifundisha.
 
Back
Top Bottom