Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Mtoto una ngozi nyororo siyo?Sawa si tunafanyaga kwa pamoja
Wee upo karne hii kweli
Acha kuogopa overeact mambo madogo haya
Misplaced
Mwanaume mwenye ngozi nyororo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtoto una ngozi nyororo siyo?Sawa si tunafanyaga kwa pamoja
Wee upo karne hii kweli
Acha kuogopa overeact mambo madogo haya
Misplaced
Mwanaume mwenye ngozi nyororo
Tupe routine kaka/dadaAcha wivu mi ngozi yangu ina afya, kama yako imekakamaa omba routine nikupatie.
Section B watu wanajifanyia maswali ua essay tu .Hii kaseti ipo side A au side B
mamanzi kuwa na sura mpya lakini miguu ya zamani.
Unacho kitafuta soon utakipataMimi ni kijana nayependa sana miguu yangu, Haya mapenzi yameanza zamani wakati nasoma shule ya msingi kipindi nilipoanza kuoga mwenyewe. Nishagombana sana na ndugu zangu wa damu na mama yangu mzazi pale ilipofika zamu yangu kuingia bafuni eti kisa natumia muda mwingi.
Mimi oga yangu naosha kiungo kimoja kimoja, napitia mwili mzima nikiwa natoka nasikiliza kwa umakini mlio wa ndala zangu za Umoja "ngaaatu ngaaatu" nisiposikia huo mlio basi siku inakuwa imeharibika sitaweza kula ata ungekuwa wali maharage.
Nasumbuliwa na majinamizi ya miguu michafu niliyopata kuiona nikiwa ndotoni, mpaka leo kijana mimi miaka AroBainI sijampata Sindelelah wangu binti mwenye miguu misafi iliyotunzwa kama yangu. Mahusiano mengi yameisha kutokana mamanzi kuwa na sura mpya lakini miguu ya zamani.
Mimi nikitoka kuoga lazima nipakae mafuta miguu yangu, kila wiki lazima nikate kucha vidole vyote vya mguuni.
Mkuu kausha tu unazingua kinyama.Yaani ngozi yangu ya miguu tuu inawavuruga hivi baathi ya member. Hivi nyinyi nikiwaambia Habari za ngozi inayozunguka Macho yangu na idadi ya Matango ambayo nayatumia kila wiki kwa ajili tu ya kuitunza si mtajinyonga kwa utando wa buibui.
Kama wewe ni wakiume tunaomba ufute uzi umetudhalilisha, ila kama wa kike watakuja wenzio pia wakusaidie nini cha kufanyaMimi ni kijana nayependa sana miguu yangu, Haya mapenzi yameanza zamani wakati nasoma shule ya msingi kipindi nilipoanza kuoga mwenyewe. Nishagombana sana na ndugu zangu wa damu na mama yangu mzazi pale ilipofika zamu yangu kuingia bafuni eti kisa natumia muda mwingi.
Mimi oga yangu naosha kiungo kimoja kimoja, napitia mwili mzima nikiwa natoka nasikiliza kwa umakini mlio wa ndala zangu za Umoja "ngaaatu ngaaatu" nisiposikia huo mlio basi siku inakuwa imeharibika sitaweza kula ata ungekuwa wali maharage.
Nasumbuliwa na majinamizi ya miguu michafu niliyopata kuiona nikiwa ndotoni, mpaka leo kijana mimi miaka AroBainI sijampata Sindelelah wangu binti mwenye miguu misafi iliyotunzwa kama yangu. Mahusiano mengi yameisha kutokana mamanzi kuwa na sura mpya lakini miguu ya zamani.
Mimi nikitoka kuoga lazima nipakae mafuta miguu yangu, kila wiki lazima nikate kucha vidole vyote vya mguuni.
Wahuni wanataka kupita nae 😂Nashangaa huu uzi upo trending toka jana 😂😂😂
Watu wamependa miguu yako mwamba