babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 14,478
- 18,341
Biashara hiyo,mashaba washajaa huko pm wakampake mafuta hadi juu ye akliwa anasugua miguu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bibie dio mkuu,labda mkuundu.Hongera mkuu
Another man 😔Mimi ni kijana nayependa sana miguu yangu, Haya mapenzi yameanza zamani wakati nasoma shule ya msingi kipindi nilipoanza kuoga mwenyewe. Nishagombana sana na ndugu zangu wa damu na mama yangu mzazi pale ilipofika zamu yangu kuingia bafuni eti kisa natumia muda mwingi.
Mimi oga yangu naosha kiungo kimoja kimoja, napitia mwili mzima nikiwa natoka nasikiliza kwa umakini mlio wa ndala zangu za Umoja "ngaaatu ngaaatu" nisiposikia huo mlio basi siku inakuwa imeharibika sitaweza kula ata ungekuwa wali maharage.
Nasumbuliwa na majinamizi ya miguu michafu niliyopata kuiona nikiwa ndotoni, mpaka leo kijana mimi miaka AroBainI sijampata Sindelelah wangu binti mwenye miguu misafi iliyotunzwa kama yangu. Mahusiano mengi yameisha kutokana mamanzi kuwa na sura mpya lakini miguu ya zamani.
Mimi nikitoka kuoga lazima nipakae mafuta miguu yangu, kila wiki lazima nikate kucha vidole vyote vya mguuni.
Ukiweza kujua huyu jamaa ni jinsia gani basi we utakua genius zaidi ya Plato na Aristotle combined....Yaani nisijue tu kama wewe wa kiume😁😁😁😁😁😁
Staki kujua kabisa 🙌🙌🙌🙌
Albert EinsteinUkiweza kujua huyu jamaa ni jinsia gani basi we utakua genius zaidi ya Plato na Aristotle combined....
Hermaphrodite, mimi ni plato😊Ukiweza kujua huyu jamaa ni jinsia gani basi we utakua genius zaidi ya Plato na Aristotle combined....
Mtoto laini laini huyo🤣🤣🤣Ashakum si matusi, Kama miguu ya mwandishi ni nyororo je TAQO lake 😀😀😀sifa zingine waachie dada zako
Kaka/dada mbona vichambo jamani....kwani si apricot scrub tu au?My routine is Very Complex and Expensive, but hata kama ukiwa akili na pesa bado inaweza kukushinda kufuata kwa sababu ya kukosa focus na dedication ambayo ninayo. Ngoja kwanza niingie Kuoga.
Napenda sana miguu mizuri, kuna dada mmoja alikuwa na miguu mizuri kiasi kwamba muda wote natamani niishike tu.Wanataka wenyewe tu, au sio....
Nna vimguu kama vya kuku kakaNapenda sana miguu mizuri, kuna dada mmoja alikuwa na miguu mizuri kiasi kwamba muda wote natamani niishike tu.
I hope unayo pia Evelyn.
Tena kijana hasa 🌈Mimi ni kijana