Ngumi rasharasha manusura nijifie

Ngumi rasharasha manusura nijifie

Kuna jamaa alipigwa ngumi ya taya na polisi .Alikuwa anapiga mihayo siku nzima na kujiongelesha na kujijibu mwenyewe.Epuka ugomvi kwa namna yoyote ile hasa wa bar kuitwa marehemu ni dk 0 tu.
Mwamba alikuwa anapiga mihayo kutwa nzima!!? Nimecheka sana

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Wiki juzi almanusura nife miaka ya nyuma kidogo nilikuwa naweza kutupa ngumi mbili tatu pumzi ya kati😂😂😂😂 Majuzi tuko huko baani nikiwanashtua kidogo...
Wewe inaonekana ni mtu mzuri na unaweza kutatua jambo kwa mazungumzo, fuata njia hii ni nzuri. Kupigana ni hatari mno waweza kuumiza au kuumizwa vibaya.

Kumbuka ngumi yako katika umri ulionao sasa si ile ngumi ya umri wa kitoto. Unaweza kuuwa kwa ngumi yako kimasihara tu!
 
Wewe inaonekana ni mtu mzuri na unaweza kutatua jambo kwa mazungumzo, fuata njia hii ni nzuri. Kupigana ni hatari mno waweza kuumiza au kuumizwa vibaya. Kumbuka ngumi yako katika umri ulionao sasa si ile ngumi ya umri wa kitoto. Unaweza kuuwa kwa ngumi yako kimasihara tu!
Kweli mkuu sinaga baya na mtu mda mwingi ni cool alone, bwege wivu akanikurupukia
 
Mwamba alikuwa anapiga mihayo kutwa nzima!!? Nimecheka sana

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Yeye mwenyewe anasema hajawahi pigwa ngumi ya kitaalamu kama ile alikuwa anapiga mihayo halafu anajiuliza maswali na anayajibu mwenyewe.si wamekupiga kmme? Poa ntawakamata tu.Kwa hiyo mmeamua kunitegua taya ? Sawa nyie wababe tutaona.
 
😂😂😂asee mkuu uliwaza nini kuomba pambana la uzito wa juu na wewe ni wa uzito wa kati???
 
Back
Top Bottom