Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
Fanya mazoezi acha uzembe kuanzisha magomvi na vijana. Mie mwenyewe na umri wangu siwezi anzisha ugomvi hata na mtoto wa form 2. Unaweza kuaibika bila sababu
🤣🤣😀😀
Vijana tumevurugwa unatuletea zakuleta, tunapasua mwamba wa pua hiyo.
Alaah!