Mkanganyiko kukanganya
JF-Expert Member
- Jun 26, 2022
- 1,204
- 5,053
- Thread starter
- #61
Smtms unaweza mbahatisha mnyonge wako ukaweka adabu mtaa😂Ugomvi sio wa kukimbilia hata kidogo.
Me ngumi siziwez na naziogopa sanaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Smtms unaweza mbahatisha mnyonge wako ukaweka adabu mtaa😂Ugomvi sio wa kukimbilia hata kidogo.
Me ngumi siziwez na naziogopa sanaa
Nna jamaa angu yeye hajui kurusha hata ngumi moja,ila amekomaa sana utosini[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]yeye anavizia haujajipanga vizur anakupiga vichwa viwili vizuri sana lazma ukimbie wewe.If the fight is inevitable, throw the first punch,hii kanuni yetu waoga,piga za pua na macho chapu,mchuzi ukitoka wataamua tu
Daaa mkuuuu umenifanya mpaka niitafute hyo ngoma ya chidi aiseee pompooo poo pisha...by the way ugomvi uanzishe ukiwa unajiweza lasivyo lazina uchezeee vitasa!Mikono mfululu yani pah pah! Mfululu yani paah wamekaah[emoji3][emoji3][emoji3]
Afadhali hata uaibike utarudi home , unaweza kuua , jela straight na mipango yote inaishia hapoFanya mazoezi acha uzembe kuanzisha magomvi na vijana. Mie mwenyewe na umri wangu siwezi anzisha ugomvi hata na mtoto wa form 2. Unaweza kuaibika bila sababu
Mkanganyiko kukanganya [emoji23][emoji23] we jamaa ni mtu fulani mkweli mkweli hivi hupendi kufake life yaani ukwelii ni ukwelii na uongo ni uongo polee kwa ngumi za chembeNiseme tu asante sana
Nashukuru mkuu mi abadani si fake mambo kusema uongo hata kwa utani hapana!!!Mkanganyiko kukanganya [emoji23][emoji23] we jamaa ni mtu fulani mkweli mkweli hivi hupendi kufake life yaani ukwelii ni ukwelii na uongo ni uongo polee kwa ngumi za chembe
Mkuu unaweza tupa kichwa ukawaza labda jaaamaa karudisha na naziKama hujui ngumi jifunze kupiga vichwa .
Pole kiongozi....Wiki juzi almanusura nife miaka ya nyuma kidogo nilikuwa naweza kutupa ngumi mbili tatu pumzi ya kati😂😂😂😂 Majuzi tuko huko baani nikiwanashtua kidogo, mara jamaa akaanzisha ugomvi, chap kasogeza meza tuzipange.
Sikutaka kubaki mnyonge nikijiamini na kale ka pumzi kangu!! Nimerusha ngumi ya kipekee kabisa jamaa kachomoa gafla aliniteketeza kwa mapigo ya juu na wastani bila kutarajia mi kule chali damu walawala.
Ugomvi wenyewe kisa waiter mwenye kawowowo ambaye ni best yangu kitambo mzigo mara chache na vimichongo vya vidili haramu kidogo!
Waiter wangu Julie ndo alinipepea kuzinduka, namshukuru
NB: Vijana tufanyeni mazoezi dah💪💪💪💪
Share nasi ulishawahi kupigana!!?
Kila mtu na mbabe wake, niliwapasuaga wachovu huko ila jamaa kidogo alipita mafunzo ya judo, ni msela sasa!!!!Ningekuwa karibu ningemwambia huyo rijali akuongezee kichapo,hujielewi we.Dume zima umepigwa
Asante kiongozi, tufanye mazoezi angalau kidogo ya kukaza mwiliPole kiongozi....
Mbaya zaidi hujui power ya mpinzani.[emoji23][emoji23][emoji23] Daah jamaa kachukua point 3 nyumbani.
Ugomvi sio poa kubaya zaidi ni mwanamke ndio mnagombea. Kwa sababu ni mrupo wako(ubabe) ungeweza kufanya ubabe wa kuhakikisha una ondoka nae hapo jamaa ungemshinda pakubwa. Sasa unaruhusu mnafikia kwenye ugomvi wengine wanakuaga na bastola ukimzidi anachomoa chuma.
Kitu nachoepuka ni ugomvi nikishanusa harufu hiyo nakusanya vilivyo vyangu naambaa. Ndio tutakufa ila sio kwa style hiyo ambayo unaweza kuepuka
Sawa ankali, Ila npo fiti kiana sema jamaa alikuwa fiti na chap zaidiAnko inabidi uje nikufue alafu umtafute jamaa part two😁
Mby zaidi pombe inampa mtu kujiamini ushindiii, mtu anapigwa makombora mkupuo mpk pombe inajitenga 😂😂Mbaya zaidi hujui power ya mpinzani.
Daah we nooma 😂😂😂😂Aisee
Sipendi ugomvi, ukinigusa hata kofi moja tu,mimi mbio polisi...
Nitahakikisha naonga hadi senti yangu ya mwisho ili wakunyooshe....wakikushindwa
Nakutafutia wahuni...wakikushindwa
Sikufichi nakufungia safari kwa waganga.
Natania tu.
Kweli mkuu, hata hii ya kwenda kuachanisha ugomvi nilishapelekewa ngumi matata ya kifua nikaisikia kisawasawa.......ugomvi wa kilevi ni hatari.Epuka bar fights, hata ambae ana break up ugomvi ni too risk, watu wamelewa unaweza poteza maisha kizembe.
Jiran yng alichomwa kisu xmas 2022 akafa alikua anaamulia ugomvi watu walikua washalewa...Kweli mkuu, hata hii ya kwenda kuachanisha ugomvi nilishapelekewa ngumi matata ya kifua nikaisikia kisawasawa.......ugomvi wa kilevi ni hatari.