Ngumi rasharasha manusura nijifie

If the fight is inevitable, throw the first punch,hii kanuni yetu waoga,piga za pua na macho chapu,mchuzi ukitoka wataamua tu
Nna jamaa angu yeye hajui kurusha hata ngumi moja,ila amekomaa sana utosini[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]yeye anavizia haujajipanga vizur anakupiga vichwa viwili vizuri sana lazma ukimbie wewe.
 
Aisee
Sipendi ugomvi, ukinigusa hata kofi moja tu,mimi mbio polisi...

Nitahakikisha naonga hadi senti yangu ya mwisho ili wakunyooshe....wakikushindwa

Nakutafutia wahuni...wakikushindwa

Sikufichi nakufungia safari kwa waganga.

Natania tu.
 
Mkanganyiko kukanganya [emoji23][emoji23] we jamaa ni mtu fulani mkweli mkweli hivi hupendi kufake life yaani ukwelii ni ukwelii na uongo ni uongo polee kwa ngumi za chembe
Nashukuru mkuu mi abadani si fake mambo kusema uongo hata kwa utani hapana!!!
Ila yule mpuzi alitupa ngumu ka vyuma
Tulimaliza ugomvi na ni mshkaj
 
Pole kiongozi....
 
Mbaya zaidi hujui power ya mpinzani.
 
Anko inabidi uje nikufue alafu umtafute jamaa part two😁
 
Aisee
Sipendi ugomvi, ukinigusa hata kofi moja tu,mimi mbio polisi...

Nitahakikisha naonga hadi senti yangu ya mwisho ili wakunyooshe....wakikushindwa

Nakutafutia wahuni...wakikushindwa

Sikufichi nakufungia safari kwa waganga.

Natania tu.
Daah we nooma πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…