Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
Fanya mazoezi acha uzembe kuanzisha magomvi na vijana. Mie mwenyewe na umri wangu siwezi anzisha ugomvi hata na mtoto wa form 2. Unaweza kuaibika bila sababu
Anaweweseka badala ya kuokota jiwe anaokota karatasi.kiweweMby zaidi pombe inampa mtu kujiamini ushindiii, mtu anapigwa makombora mkupuo mpk pombe inajitenga ππ
Nakumbuka wakati bwana mdogo nimetoka kukimbia nimepiga mapushup yangu nimebeba vinondo kidogo nikajiamini, nipo mtaani bro mmoja ivi akanizingua kanizid umri mbali, nikavimba nikamwambia wewe nakutamani long time tukazipanga, nilirusha rusha ila alinipiga bomba moja siji kuisahau nilienda kutua mbali sana, akaja akanipooza na jero ya aspirin akasema dogo usicheze na kaka zako, toka sikuile me bwana sitak matani na raia yan labda umtukane maza au umshike tako mwanamke wangu mbele yangu ndio ntatafuta mbinu ya kupambana na wewe ila hawa wengine najitoaa mapema...Aisee pole. Ubaya wa ngumi za mavumbini, refa hua ni damu tu.
Af kuna masela wanagonga nazi balaa. Akitupa konde utafkiria umepigwa bomu
π€£π€£π€£π€£π€£π€£, kama namuona vile huku kashika tayaaYeye mwenyewe anasema hajawahi pigwa ngumi ya kitaalamu kama ile alikuwa anapiga mihayo halafu anajiuliza maswali na anayajibu mwenyewe.si wamekupiga kmme? Poa ntawakamata tu.Kwa hiyo mmeamua kunitegua taya ? Sawa nyie wababe tutaona.
Madonga kajipatia umaarufu kwa kudundwaπ€£
Ni hatari sana mkuu, rafiki yangu alivunja/vunjwa shingo bar, long story short ugomvi wa bar sio mzuri...bar kuna kila aina ya watu, majambazi, wauaji n.k epuka mkuu...Kweli mkuu, hata hii ya kwenda kuachanisha ugomvi nilishapelekewa ngumi matata ya kifua nikaisikia kisawasawa.......ugomvi wa kilevi ni hatari.
Mkuu sikutaka onekana mnyonge, nilitaka kuendeleza ubabe kitaa kumbe mwili ushakataa πππππasee mkuu uliwaza nini kuomba pambana la uzito wa juu na wewe ni wa uzito wa kati???
Mkuu usijaribu watakutupia ngumi ngumu helmet utatoa mwenyewe.Mimi sipigani bila helmet tena iwe na kioo
Mkuu usijaribu watakutupia ngumi ngumu helmet utatoa mwenyewe.Mimi sipigani bila helmet tena iwe na kioo
Hasa hizi baa za changanyikeni/ wapitaji njia ni hatari sana!!Ni hatari sana mkuu, rafiki yangu alivunja/vunjwa shingo bar, long story short ugomvi wa bar sio mzuri...bar kuna kila aina ya watu, majambazi, wauaji n.k epuka mkuu...
Balaa nipale waamuzi wanasema " siwanataka kupigana waacheni tuone"If the fight is inevitable, throw the first punch,hii kanuni yetu waoga,piga za pua na macho chapu,mchuzi ukitoka wataamua tu
Pole mkuu smtms inabidi usaidie kuamulia japo ni hatari sana, si poa kuona ndugu yako anapasuliwa ukauchuna!!Kweli mkuu, hata hii ya kwenda kuachanisha ugomvi nilishapelekewa ngumi matata ya kifua nikaisikia kisawasawa.......ugomvi wa kilevi ni hatari.
ππ Wanakimbilia polisi ukizubaa miezi sita magerezaπ€£π€£ππ
Vijana tumevurugwa unatuletea zakuleta, tunapasua mwamba wa pua hiyo.
Alaah!
Hpn mkuu!!Hukujitolea haja kubwa??